Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Hapa naona matusi ya kihuni huni kwa familia ya mtu ambaye mamilioni ya Watanzania wanamheshimu. Staili hii ya uchangiaji usio na staha umechangia sana kuvuruga jukwaa hili kwa muda mrefu. Hivi kweli mnategemea mtu makini au wazee wenye heshima zao kusoma comments kama hizi? Mnadhalilisha heshima ya jukwaa hili na moderators wamekuwa wakiacha mijadala kama hii wakifikiri wanabalance mambo ya upinzani na chama tawala.Very sad.

Mkuu MTAZAMO hii ni unprofession way of running the forum. Josephine ni mama na ni mzazi. Kuna namna ya kumlinda. Sio kuacha connents za kipuuzi zinakaa jukwaani hivi. Tukianza kuandika mambo ya Salma au Jacq wa Zitto kabwe thread itaondolewa hata sekunde haipiti. Moderator na wenzake kuelekea uchaguzi mkuu wameanza mapema kuonyesha rangi zake. Imenisikitisha sana
 
Last edited by a moderator:
Ni Jambo la ajabu kuwa watu wanatoa comments utadhani ni washamba wa mawasiliano kwa njia ya mtandao.Hivi ni watu wangapi tumekua nao na urafiki mitandaoni bila kujali historical background yao? Kosa la Josephine ni nini?

Unajua vijana wa CCM wakati mwingine mnakua washamba na kujidhalilisha bure tu

Mkuu, wewe si ulitaka mleta post aje na verified ID ili uamini na u-like haya matusi?
 
Huyomchungaji malaya mwambieni atulie asikimbilie ndoazawatu
 
Binafsi Mimi nimewahi kukaa na Dada Josephine mke wa Dr ,sizani kama anafa Kuwa mke wa Rais Jamani kwanza hana Ethics , Dr slaa pale kajichanganya tu ,kama mnabisha waandishi wampige Picha Slaa Jr hafanani hata kidogo na mshikaji .
Kweli lisemwalo Lipo .
 
Kumtukana mkuu wa nchi ni jambo baya sana mbaya ni kwamba wote nyie ni wahusika ni aibu, pia kutukana viongozi wa vyama haifai lakini atakaye umia mwisho wa siku sio mkuu anae ondoka bali ni hao wanaobaki.
Nasema hivi kwani mkuu katuacha na kutoa demokrasia tuseme tupendacho kama awamu ya pili ilikua hivi ni muda sasa wa kutafakari tusiwalaumu mods..
 
Kumbe Josefina kawaponza wengi, si Khalid Kagenzi pekee.

Babu ndiyo hivyo tena, utawa wa miaka mingi na yale mambo ya Kanisa Katoliki, kuja kuonja K na kung'oka huko akawa anafanya kwa fujo na umri tena, sasa nguvu imepunguwa na Josefina ndiyo anaingia kwenye machuriti ya uanamke.

Kuna kazi hapo si mchezo.
 
Mtu yeyete kabla ya kutawazwa kuwa kiongozi hasa wa siasa kwa mrengo wa kushote anapitia mengi
 
Kumbe Josefina kawaponza wengi, si Khalida Kagenzi pekee.

Babu ndiyo hivyo tena, utawa wa miaka mingi na yale mambo ya Kanisa Katoliki, kuja kuonja K na kung'oka huko akawa anafanya kwa fujo na umri tena, sasa nguvu imepunguwa na Josefina ndiyo anaingia kwenye umamachuriti wa uanamke.

Kuna kazi hapo si mchezo.
Ati kuja kuonja K? Wewe ushaonjwa?
 
Kumbe Josefina kawaponza wengi, si Khalida Kagenzi pekee.

Babu ndiyo hivyo tena, utawa wa miaka mingi na yale mambo ya Kanisa Katoliki, kuja kuonja K na kung'oka huko akawa anafanya kwa fujo na umri tena, sasa nguvu imepunguwa na Josefina ndiyo anaingia kwenye umamachuriti wa uanamke.

Kuna kazi hapo si mchezo.

#FaizaFoxy hapo kwenye 'kuonja K' sijakuelewa vizuri. Fafanua kidogo basi ueleweke.. kwi kwi kwi.
 
Kumbe Josefina kawaponza wengi, si Khalida Kagenzi pekee.

Babu ndiyo hivyo tena, utawa wa miaka mingi na yale mambo ya Kanisa Katoliki, kuja kuonja K na kung'oka huko akawa anafanya kwa fujo na umri tena, sasa nguvu imepunguwa na Josefina ndiyo anaingia kwenye umamachuriti wa uanamke.

Kuna kazi hapo si mchezo.
Wewe Mwehu kama Wehu Wengine.
 
Ni Jambo la ajabu kuwa watu wanatoa comments utadhani ni washamba wa mawasiliano kwa njia ya mtandao.Hivi ni watu wangapi tumekua nao na urafiki mitandaoni bila kujali historical background yao? Kosa la Josephine ni nini?

Unajua vijana wa CCM wakati mwingine mnakua washamba na kujidhalilisha bure tu

Are you serious? Mke wa "Rais" hasa anaomba "friend request " hovyo? Tena kwa watu asiowajua. Sasa huo usalama kwa Rais utakuwaje? Wakati mwingine tukiri udhaifu unapojitokeza ili iwe njia ya kuondoa udhaifu huo.
 
Mkuu MTAZAMO hii ni unprofession way of running the forum. Josephine ni mama na ni mzazi. Kuna namna ya kumlinda. Sio kuacha connents za kipuuzi zinakaa jukwaani hivi. Tukianza kuandika mambo ya Salma au Jacq wa Zitto kabwe thread itaondolewa hata sekunde haipiti. Moderator na wenzake kuelekea uchaguzi mkuu wameanza mapema kuonyesha rangi zake. Imenisikitisha sana

hawa @moderators wakati mwingine hufanya kazi kama robots. inashangaza mtu akianzisha uzi wa maana unafutwa wakati nyuzi za kipuuzi kama huu zikizidi kutamalaki humu ndani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom