Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Meseji za hivi zinaanzishwa na kupata wachangiaji wengi kutoka upande wa magamba na Act,mnajitahidi kusema kweli japo kamwe hamtoweza kuachieve
 
Kwa hiyo Josefin alikuwa anawasiliana na JAMBAZI?
 
Mchungaji anayetuhumiwa kuwa naye alihusika katika mpango wa kumuua Dk Slaa amesema walichati na kujuana na Josephine Mushumbusi Facebook

Mytake:
Hii Facebook ni hatari wanawake muwe waangalifu. mtavunja ndoa zenu




CHANZO: Mtanzania

Wewe akili yako ni sawa na vibabu wa miaka ya 1960,sasa hivi hujui mtu unapata kazi,unapata ndoa through mitandao?kweli ukiwa mwans ccm lazima ujitoe ufahamu
 
Sijajua kwanini watu wote wanaosema wameokoka nawengine kuwa wchungaji walipitia maisha ya kishetani mwisho wa siku ni watumishi waandamizi wa Mungu, au ndio kusema shetani akizeeka anakuwa malaika?
Na inajulikana jasiri aachi asili yaweza kua kuna kamchongo kasicho kizuri kalikua kanaandaliwa kakabuma! Ila juwa mwanamke anauwezo wa kutumika kukumaliza na tangu awali mwanamke ndio asili au njia ya uovu wote na ndio maana alie tuumba akatutahadharisha kuishi nao kwa akili sana.

Hili ni shahiri la mtembea peku au nawewe umeamua kuingia kazini?
 
HUYU SLAA akiwa Rais atakuwa aina ya Ma- rais aliokuwa anawasema Marehemu baba wa Taifa kuwa wanapata ushauri wa wake zao kufanya maamuzi ya kitaifa.

Umeanza kutukana uongozi wa chama tawala?wakati unalelewa na kupata kila msaada toka ccm?au nikweli kuwa tayari umeshshahamia act kumfuata rafiki yako zzk?
 
Ni Jambo la ajabu kuwa watu wanatoa comments utadhani ni washamba wa mawasiliano kwa njia ya mtandao.Hivi ni watu wangapi tumekua nao na urafiki mitandaoni bila kujali historical background yao? Kosa la Josephine ni nini?

Unajua vijana wa CCM wakati mwingine mnakua washamba na kujidhalilisha bure tu
 
Gazeti la Mtanzania ninalo hapa na wanasema wameandika inbrief, wataweka mahojiano mazima na mchungaji Lyod kuanzia toleo la Jumapili ijayo. Tukiacha ushabiki ukisoma haya mahojiano mchungaji aliombwa urafiki na Josephine kwenye face book na baadaye wakaendelea kuchat kwa muda na baadaye akaitwa nyumbani kwa Dr akawaombee yeye na mkewe bila shaka wapate mtoto. Kilichonitisha zaidi ni kwamba mchungaji Lyod alikaa kwa Dr. Slaa siku 3 akiwaombea na Dr akiondoka kwenda kazini Ufipa Mchungaji anabaki na Josephine anamwombea hadi akapata ujauzito. Dr pima DNA la sivyo Willbrod Jn kanyaboya. Nawajua dada zangu Dr, huchomoki na naamini kila kitu kimeandikishwa kwa Willbrod Jn fake na hapo imekula kwako mkubwa. Subiri tuone. Mlinzi hana hatia. Msikose Mtanzania Jpili ijayo-patamu
 
Huyu mwanamke atammaliza hicho kibabu cha Chadomo.Ngoja tuone mwisho wa hii movie
 
Gazeti la Mtanzania ninalo hapa na wanasema wameandika inbrief, wataweka mahojiano mazima na mchungaji Lyod kuanzia toleo la Jumapili ijayo. Tukiacha ushabiki ukisoma haya mahojiano mchungaji aliombwa urafiki na Josephine kwenye face book na baadaye wakaendelea kuchat kwa muda na baadaye akaitwa nyumbani kwa Dr akawaombee yeye na mkewe bila shaka wapate mtoto. Kilichonitisha zaidi ni kwamba mchungaji Lyod alikaa kwa Dr. Slaa siku 3 akiwaombea na Dr akiondoka kwenda kazini Ufipa Mchungaji anabaki na Josephine anamwombea hadi akapata ujauzito. Dr pima DNA la sivyo Willbrod Jn kanyaboya. Nawajua dada zangu Dr, huchomoki na naamini kila kitu kimeandikishwa kwa Willbrod Jn fake na hapo imekula kwako mkubwa. Subiri tuone. Mlinzi hana hatia. Msikose Mtanzania Jpili ijayo-patamu

Ungekua na ID real hapa ungechukuliwa serious
 
Hivi seriously moderator wameweka hiyo update hapo juu kwa ufafanuzi zaidi au mwanzisha mada mwenyewe? Mtu anauliza kuhusu wachungaji wa ajabu ajabu ...... kwa kigezo kipi? Hiyo historia ya ujambazi? Kama wewe ni Mkristo unajua alipotokea Paulo? .......Mambo ya imani ya mtu inawahusu nini? Vipi wanaoita waganga wa kienyeji bila kujali uzito wa nyadhifa zao? ......Mmeona njia pekee ya kumjadili Dr Slaa ni kutukana kihuni familia yake? Kama haya yanaruhusiwa basi ikipandishwa uzi wa upande mwingine muwe wavumilivu sindano ipenye.....
 
Gazeti la Mtanzania ninalo hapa na wanasema wameandika inbrief, wataweka mahojiano mazima na mchungaji Lyod kuanzia toleo la Jumapili ijayo. Tukiacha ushabiki ukisoma haya mahojiano mchungaji aliombwa urafiki na Josephine kwenye face book na baadaye wakaendelea kuchat kwa muda na baadaye akaitwa nyumbani kwa Dr akawaombee yeye na mkewe bila shaka wapate mtoto. Kilichonitisha zaidi ni kwamba mchungaji Lyod alikaa kwa Dr. Slaa siku 3 akiwaombea na Dr akiondoka kwenda kazini Ufipa Mchungaji anabaki na Josephine anamwombea hadi akapata ujauzito. Dr pima DNA la sivyo Willbrod Jn kanyaboya. Nawajua dada zangu Dr, huchomoki na naamini kila kitu kimeandikishwa kwa Willbrod Jn fake na hapo imekula kwako mkubwa. Subiri tuone. Mlinzi hana hatia. Msikose Mtanzania Jpili ijayo-patamu

Mbona makubwa,kwa hiyo babu aliombewa apate mtoto kupitia mchungaji wa facebook,hapo kashaliwa Kagenzi hana kosa
 
Hiyo ndo Josephine Mshumbusi bwana!. Possibly ni jasusi aliyebobea. Slaa na ujanja wake nyavuni mzima mzima chezea wewe!. Na hilo ni fundisho kwa wanasiasa uchwara!
 
attachment.php
 
Sasa slaa aombewe wakati yeye mwenyewe ana phd, si angesoma dua wakati anachovya kuliko kumkaribisha huyo mpuuzi. Sasa ndio atajua madhara yake.
 
Back
Top Bottom