Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Kweli JF kiboko haifichi wanafiki, cha ajabu leo Ritz, Lizaboni na wengine ni mashost wa Josephine ni kipenzi chao
 
Last edited by a moderator:
mama mshumbusi naanza kuwa na wasiwasi naye kuwa ni pandikizi LA kishushushu alilopenyezewa Dr slaa kiutaalam sana kwa ujasusi was hali ya juu bila ye kujua. subirini tutaona mwisho wake

Uliona mbali sanaaa !
 
Nakushauri Dr.W.Slaa kama jamaa yangu jipange ukapime DNA ya dogo junior.

Mimi mwenyewe nimejuana nae Fb kabla ya dr w.slaa hajajuana nae.

HUYU SLAA akiwa Rais atakuwa aina ya Ma- rais aliokuwa anawasema Marehemu baba wa Taifa kuwa wanapata ushauri wa wake zao kufanya maamuzi ya kitaifa.

Kumbe tabia ya Josephine Mushumbusi ya kutongoza wanaume anaifanya mpaka facebook?

Leo mnaweza sema tena hayo au ni sifa tuu kwenda mbele kwa kufanikisha "mpango"?
 
Last edited by a moderator:
mama mshumbusi naanza kuwa na wasiwasi naye kuwa ni pandikizi LA kishushushu alilopenyezewa Dr slaa kiutaalam sana kwa ujasusi was hali ya juu bila ye kujua. subirini tutaona mwisho wake

duh watu mna machale sana yani ndio yanayojirir sahivi tunaona athari zake
 
Ningelikuwa Chadema, ningeliagiza uwe kwenye kitengo cha Usalama cha kujua Mapandikizi ndani ya Chaka.

Hilizi zako Na machale yanafanya kazi vizuri.
mama mshumbusi naanza kuwa na wasiwasi naye kuwa ni pandikizi LA kishushushu alilopenyezewa Dr slaa kiutaalam sana kwa ujasusi was hali ya juu bila ye kujua. subirini tutaona mwisho wake
 
Back
Top Bottom