Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

gwajima nae ni rafmi wa familia ya josephine mmmh
 
Ni Jambo la ajabu kuwa watu wanatoa comments utadhani ni washamba wa mawasiliano kwa njia ya mtandao.Hivi ni watu wangapi tumekua nao na urafiki mitandaoni bila kujali historical background yao? Kosa la Josephine ni nini?

Unajua vijana wa CCM wakati mwingine mnakua washamba na kujidhalilisha bure tu

Ewe mbeba sumu, umesahau Josefina alikuwa anaingia humu kujibu kama yeye ndiyo Dokta Slaa, akaandika utumbo? ikapelekea hadi Slaa haingii tena humu kwa id yake.

Nasikia huyo kwa kujipenyeza kila pahala ni kama ushuzi wa ngomani, hata makao makuu Ufipa hajaacha kujipenyeza. Cheza na Gold Digger wewe?
 
tatizo la dr. Slaa la kuokotaokota wachumba hovyohovyo. Josephine ni reject yule
 
Watu wengi tu tuna marafiki Facebook tusiowajua. Na mtu anapokuomba friendship fb wala hatuangalii historia yake. Una just add him or her. So I don't see any mistake to Josephine to do such a thing
 
Wapenda siasa iko kazi asee hadi kutetea mtu binafsi. . . .
 
Ewe mbeba sumu, umesahau Josefina alikuwa anaingia humu kujibu kama yeye ndiyo Dokta Slaa, akaandika utumbo? ikapelekea hadi Slaa haingii tena humu kwa id yake.

Nasikia huyo kwa kujipenyeza kila pahala ni kama ushuzi wa ngomani, hata makao hajaacha kujipenyeza. Cheza na Gold Digger wewe?

Kwa mambo haya Slaa akiwa Rais si nchi itaongozwa na Josefin?
 
Kumbe Josefina kawaponza wengi, si Khalid Kagenzi pekee.

Babu ndiyo hivyo tena, utawa wa miaka mingi na yale mambo ya Kanisa Katoliki, kuja kuonja K na kung'oka huko akawa anafanya kwa fujo na umri tena, sasa nguvu imepunguwa na Josefina ndiyo anaingia kwenye machuriti ya uanamke.

Kuna kazi hapo si mchezo.

Babu amechanganyikiwa kabisa na mahaba niuwe ya Josefin mpaka analetewa michepuko ndani yuko kimya, Limbwata alilopewa si mchezo
 
Ewe mbeba sumu, umesahau Josefina alikuwa anaingia humu kujibu kama yeye ndiyo Dokta Slaa, akaandika utumbo? ikapelekea hadi Slaa haingii tena humu kwa id yake.

Nasikia huyo kwa kujipenyeza kila pahala ni kama ushuzi wa ngomani, hata makao hajaacha kujipenyeza. Cheza na Gold Digger wewe?
subiri amwokote na mama yako ujue dr kidume.
 
Ewe mbeba sumu, umesahau Josefina alikuwa anaingia humu kujibu kama yeye ndiyo Dokta Slaa, akaandika utumbo? ikapelekea hadi Slaa haingii tena humu kwa id yake.

Nasikia huyo kwa kujipenyeza kila pahala ni kama ushuzi wa ngomani, hata makao hajaacha kujipenyeza. Cheza na Gold Digger wewe?

Kumbe unajua Gold digger.take care muafidhina mkubwa wewe.

swissme
 
kova anahangaika na gwajima badala ya kulikamata gaidi Mang'ura
 
Watu wengi tu tuna marafiki Facebook tusiowajua. Na mtu anapokuomba friendship fb wala hatuangalii historia yake. Una just add him or her. So I don't see any mistake to Josephine to do such a thing

kumkaribisha hm mkuu
 
Back
Top Bottom