Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Mchungaji: Josephine Mushumbusi tulijuana Facebook

Nakushauri Dr.W.Slaa kama jamaa yangu jipange ukapime DNA ya dogo junior.
mshauri Mang'ura aende kueleza policcm ilikuwsje awe anawasiliana na Kangenzi zaidi ya hata dr Slaa? nyingine hizo ni ngonjera
 
Last edited by a moderator:
Hata Godbless Lema ambaye kwa sasa ni mwanasiasa wa chadema aliwahi kuwa jambazi tena ujambazi wa kutumia sikaha
Kwanini usingemripoti Polisi au kumshataki mahakamni ili sheria ichukue mkondo wake? Hakuna mtu yoyote anayependa ujambazi

 
Pro-Chadema mbona huyu Mchungaji hamtaki kujadili.

Teh teh teh teh
 
Kwa vyovyote hiyo mchungaji alikula the so called the middle fruit ndipo Jr akaget out ha haaaa!
 
Gazeti la Mtanzania ninalo hapa na wanasema wameandika inbrief, wataweka mahojiano mazima na mchungaji Lyod kuanzia toleo la Jumapili ijayo. Tukiacha ushabiki ukisoma haya mahojiano mchungaji aliombwa urafiki na Josephine kwenye face book na baadaye wakaendelea kuchat kwa muda na baadaye akaitwa nyumbani kwa Dr akawaombee yeye na mkewe bila shaka wapate mtoto. Kilichonitisha zaidi ni kwamba mchungaji Lyod alikaa kwa Dr. Slaa siku 3 akiwaombea na Dr akiondoka kwenda kazini Ufipa Mchungaji anabaki na Josephine anamwombea hadi akapata ujauzito. Dr pima DNA la sivyo Willbrod Jn kanyaboya. Nawajua dada zangu Dr, huchomoki na naamini kila kitu kimeandikishwa kwa Willbrod Jn fake na hapo imekula kwako mkubwa. Subiri tuone. Mlinzi hana hatia. Msikose Mtanzania Jpili ijayo-patamu

Mkuu, hili la maombi ya siku 3 hadi akapata mimba ni kweli au chumvi za mwandishi?
 
mama mshumbusi naanza kuwa na wasiwasi naye kuwa ni pandikizi LA kishushushu alilopenyezewa Dr slaa kiutaalam sana kwa ujasusi was hali ya juu bila ye kujua. subirini tutaona mwisho wake

Ukitaka kumnasa dk slaa mtegee demu!
 
Ni Jambo la ajabu kuwa watu wanatoa comments utadhani ni washamba wa mawasiliano kwa njia ya mtandao.Hivi ni watu wangapi tumekua nao na urafiki mitandaoni bila kujali historical background yao? Kosa la Josephine ni nini?

Unajua vijana wa CCM wakati mwingine mnakua washamba na kujidhalilisha bure tu

Mke wa mtu unavutiwa na mwanaume mwingine mpaka unamwita kulala kwenye nyumba ya mumeo? Huoni walakini hapo?..
 
Hivi seriously moderator wameweka hiyo update hapo juu kwa ufafanuzi zaidi au mwanzisha mada mwenyewe? Mtu anauliza kuhusu wachungaji wa ajabu ajabu ...... kwa kigezo kipi? Hiyo historia ya ujambazi? Kama wewe ni Mkristo unajua alipotokea Paulo? .......Mambo ya imani ya mtu inawahusu nini? Vipi wanaoita waganga wa kienyeji bila kujali uzito wa nyadhifa zao? ......Mmeona njia pekee ya kumjadili Dr Slaa ni kutukana kihuni familia yake? Kama haya yanaruhusiwa basi ikipandishwa uzi wa upande mwingine muwe wavumilivu sindano ipenye.....

Acha kupagawa kama mchungaji mwenyewe kaamua kufunguka jinsi alivyokutana na josephine mpaka wakavutiana na kukaribishana nyumbani na kulala kwa siku tatu! Sasa kuna shida gani ikawekwa tuu public maana hii ishu ipo kwenye gazeti na next week mchungaji kijana mwenye mvuto atafunguka zaidi. Subiri upate uhondo
 
2jiulize chanzo cha habar!Knaweza kka2mika ksiasa kwn habar hajabalance hajahusanisha m2miwa1 kagezi wala hajamuhoj jo
 
Mchungaji anayetuhumiwa kuwa naye alihusika katika mpango wa kumuua Dk Slaa amesema walichati na kujuana na Josephine Mushumbusi Facebook

Mytake:
Hii Facebook ni hatari wanawake muwe waangalifu. mtavunja ndoa zenu




CHANZO: Mtanzania

Babu Mangula, Retired Jasusi wa Tanzania tangu enzi ya Nyerere...! Amekuja na mpango.hovyo kabisa ktk hili...dah! Yaani CCM kwao tishio ni Dr Slaa tu
 
Gazeti la mtanzania haliaminiki,tunatakiwa habari kwenye vyanzo unbiased.Mtanzania linamilikiwa na kada wa ccm!!

QUOTE=assadsyria3;12356839]Mchungaji anayetuhumiwa kuwa naye alihusika katika mpango wa kumuua Dk Slaa amesema walichati na kujuana na Josephine Mushumbusi Facebook

Mytake:
Hii Facebook ni hatari wanawake muwe waangalifu. mtavunja ndoa zenu




CHANZO: Mtanzania[/QUOTE]
 
maskini babu
huyo mwanamke mbona atamtoa roila nae zee zima kwenda kuoa binti mbichi vile
 
Pro-Chadema mbona huyu Mchungaji hamtaki kujadili.

Teh teh teh teh

tuna mambo mengi sana ya msingi ya kujadili ikiwemo uchaguzi mkuu! Yapo mambo ya msingi kama kukabiliana na majambazi ya green guard, kutengeneza ilani nzuri itakayotuongoza baada yauchaguzi na pia cha msingi kuboresha na kuimarisha mshikamano wetu kama wana UKAWA, hizo habari zenu za kizush hatina nafasi nazo kwa sasa! Hongeren magamba kwa kuasisi siasa za ajabu za majungu ambazo zipo ccm
 
Urafiki wa mwanaume na mwanamke Facebook
ni kutongozana tu. Tena aibu mwanmke ndio
kamtaka mwanaume. Hapa paangaliwe
vizuri kuna tatizo la kisaikolojia.
Ni Jambo la ajabu kuwa watu wanatoa comments utadhani ni washamba wa mawasiliano kwa njia ya mtandao.Hivi ni watu wangapi tumekua nao na urafiki mitandaoni bila kujali historical background yao? Kosa la Josephine ni nini?

Unajua vijana wa CCM wakati mwingine mnakua washamba na kujidhalilisha bure tu
 
Hapa naona matusi ya kihuni huni kwa familia ya mtu ambaye mamilioni ya Watanzania wanamheshimu. Staili hii ya uchangiaji usio na staha umechangia sana kuvuruga jukwaa hili kwa muda mrefu. Hivi kweli mnategemea mtu makini au wazee wenye heshima zao kusoma comments kama hizi? Mnadhalilisha heshima ya jukwaa hili na moderators wamekuwa wakiacha mijadala kama hii wakifikiri wanabalance mambo ya upinzani na chama tawala.Very sad.
 
Back
Top Bottom