assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #101
fb si mchezo
Hapa naona matusi ya kihuni huni kwa familia ya mtu ambaye mamilioni ya Watanzania wanamheshimu. Staili hii ya uchangiaji usio na staha umechangia sana kuvuruga jukwaa hili kwa muda mrefu. Hivi kweli mnategemea mtu makini au wazee wenye heshima zao kusoma comments kama hizi? Mnadhalilisha heshima ya jukwaa hili na moderators wamekuwa wakiacha mijadala kama hii wakifikiri wanabalance mambo ya upinzani na chama tawala.Very sad.
Sijajua kwanini watu wote wanaosema wameokoka nawengine kuwa wchungaji walipitia maisha ya kishetani mwisho wa siku ni watumishi waandamizi wa Mungu, au ndio kusema shetani akizeeka anakuwa malaika?
Na inajulikana jasiri aachi asili yaweza kua kuna kamchongo kasicho kizuri kalikua kanaandaliwa kakabuma! Ila juwa mwanamke anauwezo wa kutumika kukumaliza na tangu awali mwanamke ndio asili au njia ya uovu wote na ndio maana alie tuumba akatutahadharisha kuishi nao kwa akili sana.
Looh! Wacha uongo ametupia link hapa tushuhudie, khaa Mambo ya kushangaza kabisa, Mzimu wa Zitto umeanza kuwafunua boxer.MAMA MBOWE,MAMA LIPUMBA,MAMA MBATIA,MAMA CHEYO AU MREMA HAWAINGII KWENYE MITANDAO LAKINI HUYU WA SLAA ANATUPIA MPAKA MADA TUJADILI TENA ZA CHUMBANI!!!yan huyu mama mcharuko!!
Kumbe tabia ya Josephine Mushumbusi ya kutongoza wanaume anaifanya mpaka facebook?
Looh! Wacha uongo ametupia link hapa tushuhudie, khaa Mambo ya kushangaza kabisa, Mzimu wa Zitto umeanza kuwafunua boxer.
Looh! Wacha uongo ametupia link hapa tushuhudie, khaa Mambo ya kushangaza kabisa, Mzimu wa Zitto umeanza kuwafunua boxer.
Urafiki wa facebook unahamia mpaka kumpeleka kulala nyumbani kwake?