Mziki umefika penyewe hii ndio wanasema ukichimama -Nchale, ukikaa- nchale, ukigeuka Nchale, ukitulia ya Ucho
Hapa namuona Daudi bashite hata jinsi, akinyamaza wanae, na gwajima kasema atatoa vyeti kama itapotezewa.
Akisema amkamate gwajima kwa uchochezi mamaaa ndio kalifumua, hapa patamuuuu
Na wasipomkamata Gwajima kwa clip hii baaasi watatia tick kwenye aliyoeleza.
Daudi pole mdogo wangu, ukiishi nyumba ya vioo usichokoze Majirani.