Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Tatatizo lipo wapi Kila mtu ana muda wake wa kusoma. Kuna watu wanatabia kwenda kusoma saa 6, 9,10 usiku wakati wenzio ndo wanaenda kulala.
 
Yeye ndo aliyeaamsha aliporudi kutoka kubukua
 
 
Watumishi tumemuelewa gwajima na tume muunga mkono yakiwa upande wenu kimyaaa kibao kikigeuka mnatalk gwajima mwaga mboga ugali ulimwagwa walikaa kimya waliona ni sahihi vipi kwenye mboga blah blah nying
Aweke na yeye Vyeti vyake vya Uchungaji,, tujue kasomea chuo gani ,, maana haifai kujiita Dactari wakati hujawahi kusomea Udaktari ktk Chuo chochote,,
 
Ingia Instagram angalia nkipal ni nani, onganisha doti then subili episode inayo fuata
 

Attachments

  • Screenshot_20170228-001820.png
    475 KB · Views: 41
Mungu akuhurumie gwajima naomba kujua na uthibitidhe tangu baraza LA mitihani kutoa Cheri chenye sufuri.pia wewe unavimiliki umevitoa wapi? Au saivi nacte wanadouble vyeti......kweli wewe ni mtu wa kupu.....


lakini mpaka saa hizi hakuna mtandaoni majibu ya form four ya daudi bashite, ya paul mayenga??

huyo aliyeuza cheti hajaonekana watu wakamuhoji??
 
Heshima haiuzwi dukani,unayemuita dogo huenda akawa sawa na Baba yako,kua muangalifu sana.
 
Wakuu heshima kwenu,
Mimi binafsi tayari nimeshaanza kunusa ukweli wa sakata la mkuu wa mkoa wa dar kupitia maelezo ya hii picha ya instagram iliyotumwa na mkewe.



Picha hii imejibu swali moja muhimu ambalo ni lile la kutaka kujua kama hili jina la Daudi ni la bwana rc au sio lake.

Jibu limepatikana kwamba ni kweli Ndugu rc anaitwa Daudi.

Tuendelee kuusaka ukweli....Muda utatueleza
 

Kwa kweli sijwahi kuona mtu wa Mungu anakuwa mtu wa visasi sina shaka huyu ni agent wa lucifier this is true JF Members and other viewers.

Kama sio kweli kuwa ni mtu wa mgada mbona unakuwa mkali na kushindwa kuwa a true man of God who respect peoples values no matter what?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…