Huku si ni kudanganya mchana kweupe, mm nafikiri mtu anaweza kuwa na matokeo ya mtu lakini si cheti chake au hata result slip kwa sababu hivi vitu hutolewa kwa muhusika tuu, na kama mtu alifeli cheti huwa hapewi au necta huwa wanabaki na cheti cha ziada kwa mhitimu? je kama ndiyo hivyo huyu anayesema ana ushahidi kwa maana ya vyeti yeye kavitoa wapi? au mtuhumiwa mwenyewe kaamua kuvujisha siri zake mwenyewe?