Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Kinachochekesha apa ni yale yanayoongelewa ukihusianisha na hii picha daaaa kwi kwi kwi!!!
 
Hata kama ana vyeti original, kama hizo supplementary ni za kweli basi ni Kipangaless
 
Msuli tembo ,matokeo sisimizi...Bashite alituwa anatusua tu kwenye pepa mpaka watu wanamshangaa .[HASHTAG]#You[/HASHTAG] were very bright Bashite.
 
besti Sasa jiulize hata cheti cha kuzaliwa jamaa kafoji na kupata passport Kwa jina la Makonda
Na hapo ndipo ninapowaogopa Wa-TZ kwa usanii! Uchunguzi pia ufanyike ijulikane hata hicho cheti cha kuzaliliwa kilitolewaje? Na kama tunataka kushinda undanganyifu ktk taifa letu huyu kiongozi na awe mfano wa kukukiri hadharani kwamba alifanya udanganyifu.
 
MCHUNGAJI Gwajima Ni Kiboko!! Utafiti huu Sio wa Kitoto, Naunga hoja ya Mjumbe Aliyesema Anamkubali, Ni Sampo ya Aina yake.
Ama Kweli Waswahili Wanasema UkilikoLoga Utalinywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…