Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,421
- 7,877
Kufoji vyeti na kutumia cheti cha mtu mwingine nayo ni funzo?mmmhhhh kwakeli hii historia ya Makonda ni funzo kubwa sana katika Maisha ya binadam yeyote yule mwenye malengo kwakweli mim badala ya kumcheka nimefurahishwa sana Makonda alianza kupambana mda mrefu sana hadi alipofika leo bila kukata tamaa amevumilia mengi sana na ndiyo maana leo vijikelele hvyi haviogopi safari yake ya elimu ni zaidi ya safari wapo wengi walionza nao lakn leo hii wapo pabya sana walikata tamaa makonda kweli kama alivyosema anakifua chakuvumilia kweli amevumilia mengi sana kwenye Maisha usikate tamaa kuwa kama makondo siyo leo hii mtoto akifeli tu unampigia kelele keleleeeeeeeeeee makonda ni shujaa wa maisha alisumbuliwa kwenye elimu sana sasa nayy anasumbua ni mjanja sana kwenye maisha huyu ndie makonda historia ya makonda ni funzo kubwa sna kwa watu wanao taka ndoto zao zitimie bila kujali kitu chchte leo wengi wanamcheka Makonda kwa elimu yake lkni wapo wengi wanao mcheka ambao pia wanatumia majina ya watu hvyohvyo lkni wameshasahauu
Angepambana kurudia fom 4 hadi afaulu hapo hata mimi nimgemwona shujaa
