Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Povu la nn mkuu...unashindwa hata kutulia ukaandika ukaeleweka??? Mwambie Daudi Bashite aweke vyeti vyake hadharani amalize hii ishu.

Tunachojua mpaka sasa ni kwamba kiumbe yule form four alipata zero....zero...alizungusha yaani...zero yaani...yaani zero ina maana hajui kila kitu...ingekuwa hata four afadhali...zero yaani..


Uyo mwenye cheti kasema hajampa makonda na angeweza yeye kusoma xhuo kama angempa makonda cheti chake? ina maana chuo wangeenda watu wawil wanaotumia cheti kimoja? kuweni na akili axheni kulishwa maneno, gwajima yeye sio waziri wa elimu wala mwenyekiti wa necta, nitachoamn gwajima ana povu la kutajwa, mungu anajua sana ndomana hakumpa urefu gwajima maana angesumbua sana. Gwajima namfahamu kama mzinifu mwizi wa wake za watu....na muuza unga hasiyetumia unga...namn ushahidi upatikane zaidi atiwe hatiani.....Ninachoamini kuwa gwajima na story zake za kutunga na kujingiza kwenye siasa uku akisahau kazi yake alonayo...Namkumbusha gwajima haache kula pesa za wahumin wake kuwatapeli na kujijengea majumba ya fahari mno.....Who iz gwajima....?? Gwajima ni mzinfu mwizi....mropokwaji,,,,Mfitinishaj wa ndoa za watu
 
mmmhhhh kwakeli hii historia ya Makonda ni funzo kubwa sana katika Maisha ya binadam yeyote yule mwenye malengo kwakweli mim badala ya kumcheka nimefurahishwa sana Makonda alianza kupambana mda mrefu sana hadi alipofika leo bila kukata tamaa amevumilia mengi sana na ndiyo maana leo vijikelele hvyi haviogopi safari yake ya elimu ni zaidi ya safari wapo wengi walionza nao lakn leo hii wapo pabya sana walikata tamaa makonda kweli kama alivyosema anakifua chakuvumilia kweli amevumilia mengi sana kwenye Maisha usikate tamaa kuwa kama makondo siyo leo hii mtoto akifeli tu unampigia kelele keleleeeeeeeeeee makonda ni shujaa wa maisha alisumbuliwa kwenye elimu sana sasa nayy anasumbua ni mjanja sana kwenye maisha huyu ndie makonda historia ya makonda ni funzo kubwa sna kwa watu wanao taka ndoto zao zitimie bila kujali kitu chchte leo wengi wanamcheka Makonda kwa elimu yake lkni wapo wengi wanao mcheka ambao pia wanatumia majina ya watu hvyohvyo lkni wameshasahauu
 
tehe tehe tehe madereva mwaka wake huu, unamnyooshea kidole mwenzako kumbe vitatu vinakutazama mwenyewe, na Makomeo hata ongea chochote ng'oooooooooo anaangalia upepo unavovuma tu kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom