Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mjadala umefungwa rasmi tunasubiri mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki......ikifika saa nne na robo(10.15 am) na bado mamlaka hazijachukua hatua mjadala unaendelea.
Mkuu mjadala haufungwi mpaka ang'oke na kupelekwa mahakamani
 


Wewe unayetetea uovu ndio unajichafua zaidi.

Kupitia elimu ya Makonda unaona jinsi anavyofanyakazi za kuchafua watu bila uthibitisho,bila stahaa yeye akichafuliwa povu linawatoka.
 
Hahah tutatumbua walimu na wafanyakazi wengine wa serikali tu wakuu wa mikoa hawawezi kutumbuliwa
 
Wapi LIZABONI?Wapi mwasiti?wapi wakudadavuwa?
 
Waliofukuzwa kazi wakati wa uhakiki hawakusoma? Wapo waliosoma kwa majina ya wengine na kufaulu vizuri na kufanya kazi kwa bidii...fagio la uhakiki wa vyeti likawafagia hivyo hili hili fagio lisichague nani wa kufagia nani asifagiwe......wote wafagiliwe bila upendeleo!
 
Kuna mtu anajiita Askofu,anaongopea watu kupitia madhabahu kuwa "ana vyeti vya kutoka NECTA" vyenye daraja sifuri.Kama kuna mwenye taarifa hizi,ni lini NECTA wameanza kutoa vyeti kwa wanaopata daraja sifuri? au yupo kwenye arosto?
Huenda kamaanisha ana cheti cha leaving na verified list ya matokeo ya huyo BASHITE...... so kwa kutumia normal IQ alichokifanya Gwajima ni kucross check tu registration number iliopo kwenye CHETI cha leaving afu akaconfirm kwenye list kuwa huyo Bwana bashite ana zero........ ssa kwa kuwa keshatoa siku tusubiri kila kitu kitakuwa wazi
 
Mbona mambo ya vyeti yalianzia kwakina mwiguru na mtoto wa rais Leo kimya, siasa za vyeti muachane nazo mumefeli ndugu, kama kuna ukweli katika hili peleka mahakamani, nawakumbusha tu!
 
makonda, ni kijana alietoka familia duni, pengine kufeli kulitokana na maisha duni ya kijijini ambako huduma nyingi muhimu hakuna, pengine angetokea familia zenye uwezo wa kati angefaulu vizuri sana. hakukata tamaa na amejitahidi kufika alipofika, ametimiza ndoto ya kuwatumikia wananchi, tena kwa kiwango kikubwa cha kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaa ambako ndiko ukuu wa nchi na uchumi upo. amejitahidi kufanya aliyoamini yanaisaidia nchi na mkoa wake. ki msingi amejaribu kufanya mengi mazuri japo hatujaweka kipima chake cha mafanikio. hongera kwa nia yake njema. ila pia kama binadamu tulivyo hatujakamilika, sisi sio malaika!! hapo sasa...! pengine alitaka hata kwa kutumia vyeti vya mtu mwingine aende mbele zaidi ili aje kuisaidia nchi yake.kwa sasa si vibaya kuachia wengine nao sasa waendelee na pale alipoanzisha
 
Pitieni hapa muone huyu mdada anavyomharibia Mheshimiwa Mkuu wetu wa Mkoa. Haka ka mdada inabidi karejeshwe nchini kuja kujibu tuhuma mbalimbali za kuwachafua viongozi wetu na nchi kwa ujumla. Trump rudisha kwao huyu dada.

 
Well done Makonda

Historia yako imekaa vizuri

You are a fighter

Umetoka familia ya kimasikini lakini kwa sasa Mungu amekufikisha hapo Ulipo...Sio jambo dogo kabisa

Na Mungu atazidi kukubariki
 
Khaaaaaaaa hyo namba 14 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Comnent [HASHTAG]#246[/HASHTAG] ameelezea vizuri sana
 
Mkuu endelea jinsi fitina ilivyotumika hadi kufika hapo alipo. Ujumbe wa bunge maalum la katiba, kampeni 2015, ukuu wa wilaya na sasa ukuu wa mkoa.
Hii imekaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…