Kiriba
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 540
- 257
Jwaiyo cheti chakuzaliwa amefoji pia?adai Ana ushahidi Daudi bashite aka ..RC alipiga zero.
movie inaenda patamu
Jwaiyo cheti chakuzaliwa amefoji pia?adai Ana ushahidi Daudi bashite aka ..RC alipiga zero.
movie inaenda patamu
Gwajima ni mtu mdogo sana kwa serikali mkatamateni mpeleke mahakamani ili akathibitishe mnaogopa kitu gani wakati mna mapolisi wenye virungu na bundukiHoja nzito hii. Sijafurahishwa na jinsi issue ya Makonda inafanywa. Sio utu kabisa. Kama Makonda alikosea kuwataja watu kwa nini na sisi tunafanya kosa lilelile? Tena askofu. Too bad and pathetic
Hatari sana hiiDawa ya moto ni moto tu
Mkuu umesahau kuwa akuanzaye mmalize?Hatari sana hii
Mkuu sikumaanisha hivyo ila nimesikiliza hii clip nikaona huruma. Hakuna sababu ya kufika huko ila naona hili litufundishe kitu ndugu yangu. Hatari sana hii. Hii ni nivue nikuvue styleGwajima ni mtu mdogo sana kwa serikali mkatamateni mpeleke mahakamani ili akathibitishe mnaogopa kitu gani wakati mna mapolisi wenye virungu na bunduki
Labda anazungumzia results slip(cheti cha matokeo)Uhamiaji wamcheki huyu,kapata passport kwa taarifa za uongo na jina la uongo!
Kweli kabisa mkuu na haya ndiyo maisha halisi yanayopandikizwa kwetu na wakubwaMkuu sikumaanisha hivyo ila nimesikiliza hii clip nikaona huruma. Hakuna sababu ya kufika huko ila naona hili litufundishe kitu ndugu yangu. Hatari sana hii. Hii ni nivue nikuvue style
Toa uthibisho, pengine ukishirikiana na baba yako. Kikanusha hapa tu hakutasaidia maana yale aliyosema Gwajima yanaonekana ya kweliAcha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Upele umepata mkunaji sasaadai Ana ushahidi Daudi bashite aka ..RC alipiga zero.
movie inaenda patamu
Vyeti feki ni kwa makapukuUhakiki
1. Wafanyakazi hewa
2. Vyeti feki
Inaonekana hujui THE ART OF WAR.Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Turudi kwenye misingi ya utu aise. Hatutafika kwa style hii. Tuheshimiane na kukosoana kwa busara. Wanaoongoza na wanaoongozwa.Kweli kabisa mkuu na haya ndiyo maisha halisi yanayopandikizwa kwetu na wakubwa
Hilo ni swali la kitoto lililo ulizwa na mtoto, kila jambo huwa na wakati wake kutokana na influence itakayo sababisha jambo hilo kutokea, unapo jipanga kutaka kupigia kelele usafi wa nyumba za majirani ndipo nao watakapo anza kukagua kwanza usafi wa nyumba yako kikamilifu.Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha