Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Nenda kajipige mabao jitambue kama umekosa maisha, unaandika kwa hasira kama vile Kiongozi Jembe ndie alikuweka kwenye aisha unayoishi.

Eti nani na nani mna majina yao? Eeeeh kituko cha karne zote. Si muwaite mapaparazi waongee mubashara au?

Je pakuripoti pamefungwa milango 24/7?

Kweli akili timamu zilishasepa

Mvivu, mjaa wivu, pundwa, njaa kali, tamaaa inahusu
Acha maneno mengi lete cheti
 
We kiboko Nyuzi ya bashite ikitupiwa tu humu hata kama umelala usingizi usiku wa manane utashtuka kuja kumtetea, inaonekana hii kazi inakulipa si mchezo.😀
Michepuko hiyo isipopiga kelele watakula wapi?
 
Nimeipenda hiyo kauli "jinai haifi.."..naongezea hivi "jinai haifi na anaekupa kiburi ana miaka nane tu imebakia kabla nae kugeuka kuwa nyoka wa kabisa a.k.a "mzee"
Mkuu ongeza na mingine mitano kama ukomo unazungumzia sanduku la kura lakini kama mambo mengine ugonjwa, natural disaster au natural death sawa. Kudhania J atakaa madarakani awamu moja tu ni ndoto za mchana.
 
We kiboko Nyuzi ya bashite ikitupiwa tu humu hata kama umelala usingizi usiku wa manane utashtuka kuja kumtetea, inaonekana hii kazi inakulipa si mchezo.😀

Silipwi na mtu yoyote.
 
Bashite asipokomaa hapo ulipo na akasalimu amri kwa kuachia wadhaifa wake huo alionao,kitakachofuata baada ya hapo ni kwenda mahabusu na tusisahau moja ya kosa lake analotuhumiwa kulifanya linatajwa kuwa halina dhamana.

Sasa hata kama ni wewe utafanyaje zaidi ya kujifanya kauzu?

Hata hivyo,anajidanganya tu maana jinai haifi na yeye wala hana kinga.
Huyo baba yake wa kufikia anayedanganyika. Bado miaka mitatu term yale inamalizika na akibahatika tena miaka mitano. There after hakuna atakayekubali huo upuuzi. Ni cello tu bora angeanza saa hizi apewe unyapara mapema
 
Msalimie bandugu Daudi Bashite.

Muulize kwa nini ameacha jina hili zuri la Daudi Bashite na kujipachika la Paulo Makonde?

Inaelekea umekosea uliyetaka kumquote, as uliyoyaandika sijui unaongelea nini.
 
Nenda kajipige mabao jitambue kama umekosa maisha, unaandika kwa hasira kama vile Kiongozi Jembe ndie alikuweka kwenye aisha unayoishi.

Eti nani na nani mna majina yao? Eeeeh kituko cha karne zote. Si muwaite mapaparazi waongee mubashara au?

Je pakuripoti pamefungwa milango 24/7?

Kweli akili timamu zilishasepa

Mvivu, mjaa wivu, pundwa, njaa kali, tamaaa inahusu
Makonda ana angusha utawala wa Magufuli hili halina mjadala
 
Hakuna kilichowekwa wazi.

Kilichopo ni maneno tu.

Hata huyo anayedaiwa kuwa ndo Paul Makonda mwenyewe sura yake haijulikani.

Hayo majina ya watu unaodai walisoma naye hayajathibitishwa na mwingine yeyote zaidi ya wapinzani wake ambao hawawezi kuaminika kivile.

Hata huyo Gwajima wenu licha ya kudai anavyo vyeti vya Makonda huko ofisini kwake bado hajatuonyesha kama kweli anavyo. Na anaweza kabisa kuwa anatudanganya tu.

Na yeye Makonda kutokukanusha chochote mpaka sasa hivi [kama unavodai] si ushahidi wa chochote wala lolote lile.

Bado kabisa sijaiona hiyo jinai unayodai kaitenda. Sisemi kuwa hajatenda jinai. La hasha. Nasema kuwa sijaona ushahidi wowote ule wa kunishawishi kuwa katenda jinai. Maneno yenu pekee si ushahidi wa kunishawishi mtu kama mimi.

Na hii mada yako wala haina jipya zaidi tu ya kujaribu kuipa uhai habari ambayo inaelekea kaburini.

Mwambieni Gwajima wenu atuonyeshe hivo vyeti alivyonavyo ofisini kwake maana Makonda mwenyewe hataki.

Mchungaji kasema Ana vyeti viwili kimoja cha Daudi A. Bashite ambacho alipata zero na kingine cha Paul c. Muyenga, swali dogo hapo, Je mwanafunzi akipata zero o-level anapewa cheti!
 
Mchungaji kasema Ana vyeti viwili kimoja cha Daudi A. Bashite ambacho alipata zero na kingine cha Paul c. Muyenga, swali dogo hapo, Je mwanafunzi akipata zero o-level anapewa cheti!
Mimi sijui kama mwanafunzi akipata 0 anapata cheti au la.

Raghba yangu ni kutaka kuviona vyeti alonavyo huyo tapeli askofu.
 
Kwa mtu mwenye akili timamu kwa sasa hawezi tena kuuliza swali kama hili maana kila kitu kimeshawekwa wazi mpaka majina ya watu aliosoma nao Msingi,Secondary na hata chuoni na wala yeye mwenyewe hajakanusha.

Keepon hoping!!!!
 
Back
Top Bottom