Unadhani atashinda nani badala yake. Tupe mawazo yako. Lakini usituletee majina ya watuhumiwa wa ufisadi na mafisadi hapa. Chunga sana mduguMasahihisho - amebakiwa na miaka mitatu tu , siyo 8 , hawezi kushinda uchaguzi wowote mwingine , chukua hili andiko mkuu , Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !