Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

KILA MTUHUMIWA AJIBU TUHUMA MWENYEWE.HATUTAKI LONGOLONGO.
 
Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Jambo sahihi lazma utambue tuhuma hii Si jambo dogo watu wamezisotea degrii yeye analeta mchezo.
 
Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Mbona rahisi tuu kwani si aweke mezani vyeti? Kama wewe mbiba unavyo na unaweza kuweka mezani?
 
 
Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Cut to the chase, mwambie yeye aweke vyeti mezani kama akina zito na mwigulu. Kwani yeye nani asituhumiwe?
 
Kama huyo mtuhumiwa hajakana mashitaka mpaka leo ni kwann hatua zingine zisitumike kama ambavyo nimependekeza ili kuumaliza huu utata na watanzania wote tukajua mbivu au mbichi juu ya hili swala.
kubebana. au hilo hujaliangalia?
 
NECTA wametoa taaarifa kwamba kwa yeyote anaehisi kwamba kuna raia yeyote wa Tanzania amegushi vyeti vya elimu ,awasiliane nao.

Wametoa namba za simu,na barua pepe kwa mawasiliano.

Nakuomba Mchungaji Gwajima utumie nafasi hii kikamilifu.

Wenye uwezo kimamlaka ya kuwatambua watahiniwa ni NECTA.

Usipo fanya itaonekana ni uzushi dhidi ya RC Makonda.
Na hii pegine ni nafasi kuufunga mjadala huu ambao kila kukicha ni issue ileile wakati taifa kwa ujumla wake lina changamoto nyingi sana.

Pia Mchungaji Gwajima kumbuka kosa la kufoji vyeti linaendana pia na kosa kuchafua image ya kiongozi yeyote yule.

Nahisi yote ni kama jinai.
Fanya sasa weka proof hadharani mamlaka stahiki zichukue hatua stahiki.
 
Mama kama ww ndio mama Daudi mwenyewe aliyekusudiwa kwenye kale ka comment ka instagram, basi anza kuandika maumivu taratibu. Mumeo kashakua mshukiwa wa kutenda uhalifu wa kununua cheti cha mtu na kukitumia. ikibainika, sheria itakata kama msumeno.


Umemshupalia na kunishupalia pia, I hope unapata kipato kwa wivu uliokujaaa au nini tena!? Shusha proof humu. Mimi ni Cocochanel, ya mama nani sijui nani pitisha huko kawagongee unaowaongelea makwao. Hutaki mtu awe na mashabiki, hadi unatunga upupwu juu yangu.


Makonda oyeeeee
 
Nasikia kaondoka leo mchana kwenda bondeni sijui kafuata nini
 
maelezo yao sio cheti. kama kakuonyesha cheti, tuonyeshe na sisi
 

Mimi sipo karibu na Mh. Makonda wala hatujuani, na yeye na family members waje sifahamiani nao pia.

Naandika ninalojisikia kuandika, pole kwa kukosea hahahaaaaaaaaaaa. Uwiiiii kiroja


Makonda oyeeeeeee
 
Askofu Gwajima aliahidi jana atamleta mtu kutoka koromije kuja kuthibitisha madai yake..na aliahidi kuweka hadharani vyeti halisi vya makonda..je alifanya hivyo?
Watu wa koromije walifuatwa huko huko na mwanahalisi! Wametupa habari ya kutosha kuwa koromije bwana yule anafahamika kama Daudi Bashite na mama yake anajulikana kama mama Daudi! Daudi Bashite alipaya ziro form 4.
 
Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Ujue lakini kuwa mhusika hana hata ubavu wa kukanusha! Hawezi kukanusha kuwa jina lake ni Daudi Bashite! Kijijini anafahamika hivyo! Wanafunzi wenzake wanamjua hivyo! Daudi Bashite alipata ziro f4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…