Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.

The Corservator
Elimu ya university au college ni tofauti kabisa na elimu ya Form four au Six , Walio na wanao soma chuo wanajuwa hilo , nazani kama umefka elimu ya juu unalitambua hilo
 
Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.

The Corservator
kama alinunua cheti cha form 4, anashindwaje kutoa rusha apewe maksi za bure chuo kikuu. wadada hutoa rushwa ya ngono, sijui yeye alitoa rushwa gani. msihoji kuhusu marinda😵. namba 17 & 18 ina ukakasi na huenda ndipo ambapo rushwa ilitumika mpaka akamliza chuo bila kikwazo.

Hata hivyo, kama ana vyeti vya kidato cha nne vyenye jina la makonda atuonyeshe.


13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management & Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokuwa akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na carries 3 ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa carry over na supplementary. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community & Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community & Economic Development kwa jina la Paul C Makonda badala ya majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite

19. Jina Makonda analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka Paul C Muyenge lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka Paul C Makonda baada ya kuapa mahakamani.
 
Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.

The Corservator
Sikiliza ndugu kufeli mtihani haimaanishi hujui kitu kuna Sababu nyingi zinazochangia kufeli.

Kuumwa kipindi cha mtihani.

Kupata matatizo ya kifamilia wakati wa mtihani n.k

Pia mitihani ya chuo inatungwa Na lecture wako wakati mitihani ya kidato cha nne Na Sita inatungwa na bodi.(necta) . Kwahiyo kwangu Mimi nasema ni rahisi kufaulu chuo kuliko kidato cha nne. Na Ndio Maana wanaofeli kidato cha nne ni wengi kuliko wanaofeli wakiwa chuo.

Na Huyu bwana bashite ninavyosikia amesoma miaka sita. Hiyo degree ya miaka mitatu.. Na pia akadisco Tena alipotaka kufanya master mzumbe.
 
Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.

The Corservator

A failure is a failure period.
 
Wanampenda sana Mh. Makonda, hawalali, hawaogi, hawali, hawanywi etc

Wanamuwaza tu, wengi na wivu juuuuuuuuuuu
 
Wakuu nimeipata audio ya Askofu Gwajima akielezea kinaga ubaga juu ya elimu ya makonda na amemtaka aombe radhi ndani ya siku chache kabla chungu hakija chemkaaa,hakika huyu Makonda.. Mhh... Sijui


Na kale nako ni kanafiki sana kapumbavu dadeki zake.....kwahiyo akiomba radhi ndio atamsamehe au halafu yaishe hivi haoni kama huu msala ni jinai na si yeye atakayemaliza pumbavu yule.

Kama anataka kuweka mambo sawa na makonda kuombana msamaha hayo ni mambo yao binafsi hili la cheti ni swala jamuhuri yetu sisi watz ambao sasa tunataka kuhoji na ushahidi tupewe kuhusu gamba ya makonda.
 
Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.

The Corservator
Na mashaka sana na elim yako
Elim ya chuo ni tofauti na sekondary au advance
Chuo magumash meng yanafanyika
Mara ngap umesikia wadada wamelala na maprofesa wafaulu ??
Chuo watu wanafanyiana assignment,quiz test na sometymes mpaka UE's
Chuo watu wananunua mitihani
Vitu ambavo havipo sekondary wala advance
Kutoboa chuo ni easy sana
 
Mwambie atuonyeshe vyeti. hatutaki malumbano yasiyo na tija. au mwambie akanushe kuwa ni uongo halafu ndo uje tena
 
Na Huyu bwana bashite ninavyosikia amesoma miaka sita. Hiyo degree ya miaka mitatu.. Na pia akadisco Tena alipotaka kufanya master mzumbe.
huyu Bashite ana matatizo. hajajigundua tu kama yeye ni kilaza? anataka kusoma masters😵
 
Baada kuona mjadala tena mrefu humu ndani leo na mimi naona nitoe uzi wangu ili tupate kujadili wote na ikiwezekana kila mmoja awe amepata jibu sahihi.
Hii ni kutokana na swala linaloendelea ambapo mimi siwezei kukubaliana nalo wala kulikataa ila naweza kulikubali endapo tu itakuja evidence itakayoonyesha hii ni kweli, si jambo lingine nalozungumzia hapa ni swala la kusema RC wa Dar amechukua jina ambalo si la kwake, hebu tujiulize maswali yafuatayo ili tupate kujiridhisha na kuweza kumaliza utata wa swala hili.

1: Mmiliki halali wa hicho cheti yuko wapi na anajihusisha na nini?, na je ni kwanini asijitokeze au asichukuliwe ili kumaliza mzizi wa fitna badala ya kumsubiri huyo mtu anayedhaniwa amechukua jina la mtu na kulitumia ndo afanye hivyo?.

2: Endapo akijitokeza huyo mhusika (mmiliki halali wa hicho cheti) anapaswa kuulizwa maswali kadhaa
A) ni kwann alikubali jina lake litumiwe na mtu mwingine na kupelekea huyo mtu kujiendeleza kielimu na si yeye binafsi

B) kwann alisubiri watu wajitokeze na si yeye binafsi asiende kwenye vyombo vya sheria ili kuchukua hatua juu ya swala hilo?.

C) atatuthibitishiaje umma tupate kuamini kuwa yeye ndo mmiliki halali wa hilo jina?

3: kama kuna mtu mwenye ushahidi mbali na mhusika kamili ambaye bado hajatoka mbele ya kadamnasi kuthibitisha kuwa bwana Daudi Bashite alibadilisha jina na baadae akaitwa Paul Makonda ni kwanini asijitokeze na kuweka mambo hadharani ili watu wajue ukweli badala ya kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii.

4) familia ya mtu ambaye cheti chake kilichukuliwa either kwa kununuliwa au kwa kukitoa kawaida iko wapi? na kwanini hawataki kujitokeza hadharani ili kuwafungua watanzania wengi wanaoamini au wasiamini hii sinema kama ni kweli au la?

5) Walimu, wanafunzi wenzake na Daudi Bashite pamoja na Paul Makonda wako wapi? Na kwanini wasijitokeze na kutoa ushahidi kamili licha ya huu unaosadikika?

6) na je ni kwanini wasifatwe ndugu wa karibu wa familia ya paul makonda na kuhojiwa juu ya hili swala ili kupata jibu sahihi mbali na kuendelea kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii?

NB: kuna kipindi kulikuwa na maswala kama haya ya bwana Daud Bashite na ikapelekea kuandikwa kwa kitabu cha "MAFISADI WA ELIMU" kuna baadhi ya viongozi ambao mpaka leo wapo madarakani, na watu wamekosa ushahidi wa kusema kwamba wamechukua vyeti vya watu na kujiendeleza kielimu au la.
Mtazamo wangu kama ni kweli huyu jamaa alichukua vyeti ni heli yakatumiwa hayo maswali kama njia mojawapo ya kusema ukweli kuliko kusema, kuandika sana haya mambo kila siku kwenye mitandao ya kijamii na hata kwenye baadhi ya vyombo vya habari bila ya kuwa na ushahidi yakinifu na kuwafanya watanzania kuacha kufanya mambo mengine na kujadili hili jambo kila siku.

[HASHTAG]#huu[/HASHTAG] ni mtazamo wangu tu ambao utatusaidia kumaliza huu utata wa bwana Daud Bashite/Paul Makonda.
 
akipatikana na hatia ya kutakatisha cheki, ananyang'anywa na cheti na chuo.div 0 huwezi kwenda chuo kikuu.
 
1. Kwa sababu umesema HUWEZI KUBALIANA NALO, basi hutakubaliana nalo hta ushahidi ukiletwa.

2. Na kama Paul Makonda "original" amekufa na hayupo, utaendelea kutokuamini..??

3. Na kama yeye KWELI ni Paul Makonda the real one, kwanini asioneshe vyeti vyake ili kuondoa utata huu na maisha yaendelee na wote wanaomtuhumu waone aibu..???

Mimi mwenyewe mwanzoni nilikuwa napuuzia nikidhani ni kashfa za kisiasa, ila sasa naanza kuamini ni kweli kwa sababu it costs nothing kuonesha cheti chako. Watu wamemtyt jamaa
 
mshukiwa ndiye anayetakiwa kukana mashtaka. Tatizo ni pale mshukiwa anapoulizwa swali kuhusu jina lake halisi na uhalali wa vyeti vyake, yeye anakua bize kuzungumzia ushoga wake, kukosa mtoto na madawa ya kulevya. kazi rahisi kufunga mjadala ni hii
  1. anatakiwa kukana kua yeye si Bashite. baada ya kukana, uchunguzi utafanyika kijijini kwao ili kubaini kama yeye si Bashite kweli au kadanganya. au
  2. anatakiwa akubali kua yeye ni Bashite. baada ya kukubali kua yeye ni Bshite, itabidi atuonyeshe vyeti vyake vya kidato cha nne vyenye jina la Bashite alivyovitumia kuombea chuo.
 
Back
Top Bottom