Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Invisible na Mods wote tuseme ukweli huu uzi una mahusino gani na huku mlipouleta.
 
Vita ya madawa ya kulevya vs vita ya vyeti feki....
 
Duh kweli kanisani na misikitini ni sehemu ya kujificha na hao viongozi wa dini Mungu anawaona.
 
Mods this is not fair, msilazimishe mambo.Kama vipi fungeni nyuzi zote za Makonda
 
Eti wanadai tunamuonea wivu, hata akiondoka wala hatuufikirii huo u-RC, sisi tunataka mtu mwaminifu aliye na vyeti vya kweli.
Nani amuonee wivu uyo ziro.. yani kweli shule inaumuhimu mkubwa sana kwa mtu.. angekuwa kapita shule angeweza kujitambua na kujua namna ya kuongoza.. kitendo cha kumpiga Warioba bado sielewi uyu dogo alikuwa na nini kwenye mawazo yake..
 

  1. G Sam JF-Expert Member
    #1
    3 minutes ago

    Joined: Apr 20, 2013
    Messages: 4,341
    Likes Received: 4,072
    Trophy Points: 280
    New
    Ikiwa rais Magufuli atakubalina na barua aliyoandikiwa na RC mmoja ambaye ameomba kujiuzulu, basi kesho mchana itakuwa na kishindo cha aina yake kwenye tasnia ya habari nchini.

    RC huyo mwenye tuhuma za aina yake ameomba kujiuzulu kwa kile alichotaja kama kuepusha "serikali tukufu ya watanzania na tuhuma zinazoweza kuepukika mapema"

    Hata hivyo rais Magufuli anatarajiwa kwa kiasi kikubwa kukubaliana na ombi hilo.
 
HUYU GWAJIMA MBONA ANA VISASI VYA KIJINGA ? TANGU ATAJWE KWENYE TUHUMA ZA UNGA KILA SIKU MAHUBILI YAKE, MAKONDA,MAKONDA!? VYETI,VYETI, UNABOA BWANAA !!
 
wale JIESIEMU kesho watalinunua karibu ili kumpa hifadhi mule wao!!

Amekulia kwenye bahari ya changamoto ya maisha,leo anajiita mungu mtu wa Dar!!
 
Wewe huna kazi
 
This is more than serious !!!!
 
Baba no school at all
Mama la saba tu zerooooooo
Mtoto zerooooooooo

It the matter of biology in the aspect of genetics (kithungu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…