Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Ndo maana nasema Tanzania hatuna opposition parties....vyama gani vya kutetea na kupokea wauza na watunia mihadarati????

Vyama gani vya kusubiri matukio na kujishikiza hapo??? Hii inaonesha havina mikakati yaani mpango kazi. Vinacheza ngoma ya CCM. Aibu sana

Chenye mikakati ni hicho CCM miaka 55 Tanzania imerudi nyuma miaka 80.Mnajiita Hapa kazi tu,wakati kazi kuropoka kwenye kila mkutano sijaona chochote cha maana mpaka sasa.Miradi yote ya JK.Mmeanzisha miradi ya fine za barabarani kisa hakuna kodi.

Mtahangaika sana safari PhD mnaghushi,vyeti navyo vya kughushi hakuna hata msafi huko.
 
We umezaliwa mwaka gan? Mbowe amesoma, na kama hana elimu kubwa hasingequalify kwenye tume ya uchaguzi kugombea urais mwaka 2015.....
(Hasinge)
(Urais 2015)

Tye tye tye
Kweli kuongozwa na ZERO nawe unakuwa ZERO
Lowassa aligombea urais mwaka gani!!
 
Utaandika sana lkn hakuna mlengwa hata atasoma,ebu tafuta kitu cha maana zaidi cha kufanya.
 
Bashite aachwe for sure anatia huruma asamehewe kama alikosea sehemu na zero yake anafanya na atafanya mambo makubwa mazuri kuzidi hao wenye mavyeti na mavyeti
Unamaanisha wale watumishi waliofungwa kwa kugushi vyeti na kufungwa na wengine kukimbia warudishwe makazini?
Huu ujinga hatuutaki. Anajilizaliza madhabahuni kwa misingi gani?
Aache uhuni. Alete vyeti.
 
(Hasinge)
(Urais 2015)

Tye tye tye
Kweli kuongozwa na ZERO nawe unakuwa ZERO
Lowassa aligombea urais mwaka gani!!
Mbowe kagombea urais 2005, kama unabisha utakua chiziiiii, Ebu ntajie vigezo vya kugombea urais Tanzania
 
Hivi ulienda shule kusomea ujinga!!
hujui kituo kikubwa wala mkato vinawekwa wapi!!
Rudi shule

Mkuu MOTOCHINI;
Naona kitengo chenu cha propaganda kimejiweka tiyari kuharibu kila thread yenye nguvu kwa kuwaibua hata wasohusika humo. Jitahidini basi kumwambia Bashite, si aweke tu vyeti hapa JF?? Kwani ni nini?? Kupata ziroo yaani yai si mauti wala ulemavu.
Acheni kuwataja kina Mbowe, andikeni thread nyingine tutachangia tu. Swali ni kwamba; Kwa nini kuwe na double standard katika ku deal na jambo moja?? Kama kanunua cheti, kimevuja, apewe haki yake; Atumbuliwe na kwa kuwa ni jinai, Segerea inamhusu. Mbona kina Yona na Pesambili walienda na kurudi salama. Naye aende sio kuwasukumia kina Lijualikali tu.
 
Kwa mtazamo wangu yafuatayo yanaweza kuwa madhara ya kufumbia maccho jambo hili.

1.Waliokuwa wamebakiza imani ndogo kwa Mkuu wa Kaya sasa wamebakiza imani "zero" kwake

2.Waliokuwa bado wanamuamini sasa imani yao kwake nayo imeanza kushuka

3.Imani ya wananchi kwa chama tawala inazidi kushuka

4.Chama tawala kitapoteza viti vingi vya ubunge hasa katika jiji la Dar-es-laama na majiji mengine makubwa ya nchi hii.

5.Zoezi zima la uhakiki limepoteza maana na limedharaulika.

6.Mazoezi mengine yoyote yatakayofuta watu watayadharau

7.Waliokuwa bado wanavutiwa na hotuba zake sasa wataacha kumsikiliza.

8.Ni mfano mbaya kwa wanafunzi walioko mashuleni.


9.Vijana wengi wataamini mafanikio katika maisha ni ujanja wako tu na kwamba kusoma sio issue.

10.Ukijuana na wakubwa wewe ni utouchable.

11.Baadhi ya vijana watakuwa insipired kufuata nyayo za RC huyu kufikia hapo alipo bila kujali hatari inayowakabili.

12.Baadhi ya watu hawatakuwa comfortable kuumpa mtuhumiwa heshima yake kama kiongozi na wengine hawatajisikia amani kuhudumiwa na mtuhumiwa.

13Mthumiwa nae hatakuwa comfortable kupokea heshima anayopewa na atajihisi hastahili tena heshima hiyo.

14.Hadhi ya jiji husika na watu wake kushuka thamani.

15.Mtuhumiwa kujihisi kusemwa na kila mtu hasa pale anapoona watu walio karibu yake au anaofanya nao kazi ofisi moja wanapiga story katika vikundi na hata wawapo maofisini...

16.Athari za kisaikolojia kwa muhusika katika siku za baadae.

17.Ajenda na turufu ya upinzani mwaka 2020
Salary, uko makini na sahihi. Lakini ni kwa watu wanaojitambua! Sio TZ
 
Jana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu

....Vumilia tuu najua ukweli hamuupendi but it must be said, hamna jinsi...
 
Kwa mtazamo wangu yafuatayo yanaweza kuwa madhara ya kufumbia maccho jambo hili.

1.Waliokuwa wamebakiza imani ndogo kwa Mkuu wa Kaya sasa wamebakiza imani "zero" kwake

2.Waliokuwa bado wanamuamini sasa imani yao kwake nayo imeanza kushuka

3.Imani ya wananchi kwa chama tawala inazidi kushuka

4.Chama tawala kitapoteza viti vingi vya ubunge hasa katika jiji la Dar-es-laama na majiji mengine makubwa ya nchi hii.

5.Zoezi zima la uhakiki limepoteza maana na limedharaulika.

6.Mazoezi mengine yoyote yatakayofuta watu watayadharau

7.Waliokuwa bado wanavutiwa na hotuba zake sasa wataacha kumsikiliza.

8.Ni mfano mbaya kwa wanafunzi walioko mashuleni.


9.Vijana wengi wataamini mafanikio katika maisha ni ujanja wako tu na kwamba kusoma sio issue.

10.Ukijuana na wakubwa wewe ni utouchable.

11.Baadhi ya vijana watakuwa insipired kufuata nyayo za RC huyu kufikia hapo alipo bila kujali hatari inayowakabili.

12.Baadhi ya watu hawatakuwa comfortable kuumpa mtuhumiwa heshima yake kama kiongozi na wengine hawatajisikia amani kuhudumiwa na mtuhumiwa.

13Mthumiwa nae hatakuwa comfortable kupokea heshima anayopewa na atajihisi hastahili tena heshima hiyo.

14.Hadhi ya jiji husika na watu wake kushuka thamani.

15.Mtuhumiwa kujihisi kusemwa na kila mtu hasa pale anapoona watu walio karibu yake au anaofanya nao kazi ofisi moja wanapiga story katika vikundi na hata wawapo maofisini...

16.Athari za kisaikolojia kwa muhusika katika siku za baadae.

17.Ajenda na turufu ya upinzani mwaka 2020
Well articulated...cjui keshamtumbua?
 
Clouds Media kupitia kipindi cha Take One kilichokuwa kinaendeshwa na Zamaradi kiliwahi kuweka Video ya mahojiano ya Zamaradi na Wazazi wa Mh.Makonda katika mtandao wa You Tube........katika video hiyo ya You Tube moja kati ya wachangiaji katika video hiyo kwenye mtandao wa You Tube walikuwa Mahimana Joyce. Mama huyu ni mama yake mdogo wa Mh.Makonda. Katika comment yake kwenye video ya Clouds Media aliandika ''Barikiwa sana familia ya Bashite na pia dada Suzan pole sana Daangu. Mungu atukuzwe sana.kweli amekuinua''

Katika hali ya kushangaza Clouds Media Group ambao ndio walionweka video hiyo wamefuta ujumbe huo uliowekwa miezi nane iliyopita.
17103380_1326205477439356_7621891703934085083_n.jpg

Wachangia wameilaumu Clouds kwa kufuta ujumbe huo kitendo kinachoamsha hasira katika kupambana na matumizi ya vyeti feki

Kwa maelezo zaidi tembelea You Tube
 
Clouds Media kupitia kipindi cha Take One kilichokuwa kinaendeshwa na Zamaradi kiliwahi kuweka Video ya mahojiano ya Zamaradi na Wazazi wa Mh.Makonda katika mtandao wa You Tube........katika video hiyo ya You Tube moja kati ya wachangiaji katika video hiyo kwenye mtandao wa You Tube walikuwa Mahimana Joyce. Mama huyu ni mama yake mdogo wa Mh.Makonda. Katika comment yake kwenye video ya Clouds Media aliandika ''Barikiwa sana familia ya Bashite na pia dada Suzan pole sana Daangu. Mungu atukuzwe sana.kweli amekuinua''

Katika hali ya kushangaza Clouds Media Group ambao ndio walionweka video hiyo wamefuta ujumbe huo uliowekwa miezi nane iliyopita.
17103380_1326205477439356_7621891703934085083_n.jpg


Wachangia wameilaumu Clouds kwa kufuta ujumbe huo kitendo kinachoamsha hasira katika kupambana na matumizi ya vyeti feki

Kwa maelezo zaidi tembelea You Tube
 
Hii ni aibu ya karne...
Lijamaa linalia lia kinafiki tu!
Angekuwa na hivyo vyeti si angetoa tu yakaisha...
Daud Bashite!
3976d29f668a6f27cd445fb147840bd8.jpg
 
Back
Top Bottom