Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mwenzio akimwaga mboga we mwaga ugali
 
Kama ni kweli itakuwa imetia doa sana team ya vetting na usalama wa taifa kwa ujumla. This is very sad!!!
 
Kwanza kwenye kamusi yangu hakuna Neno MUNGU WA DSM hiyo tu yatosha kujua uwingi wa ujuha na ushabiki maandazi uliojazwa katika Bongo zenu..! Don't argue with a fool.! Rais huamua mtu wa kumteua au kumtengua fullstop.
Kwavile nyie ni malaika, hakuna shida ndugu.
Tumeshachanganya na za kwetu kuhusu uhakiki wa vyeti, tumemwachia Mungu wa Mbinguni.
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Na ndivyo alivyosema Gwajima. jina bashite limeanza kutumika wakati akisoma chuo cha uvuvi certificate. kurudi nyuma, unapata mtu anayeitwa Daudi Bashite. Yaani jina Paul Makonda lilianza kutumika baada ya kuzungusha form four. na kwa mujibu wa Gwajima, alichukua kwa mtu.
 
Hii habari inauongo mwingi sana Kwanza anasema darasa la saba hakufaulu lakini akasoma Pamba kisha anasema anavyeti vya ziro form4
Pamba alianzia evening classes kipindi kile zinaitwa Taasisi baadaye wanafunzi wa jioni (Taasisi) waliingizwa kwenye mfumo rasmi au ulkuwa hujazaliwa?? Then anachosema cheti ni result sheet ya watahiniwa wa mwaka huo Pamba sekondari...
 
Nashukuru umejijibu mwenyewe kuwa wanadamu tumekatazwa kulipa kisasi kwani Mungu anasema kisasi ni chake, kama uko tayari nikupe maandiko

Hayo maandiko yako ya Kiroho unayotaka kunipa ningeshauri yabadilishe yawe fursa Kwako ili yaweze kukukomboa Kiuchumi na Kifikra na ukishaona umejikamilisha nayo basi ndiyo unipe na Mimi. Hizi dini ziwafanyeni mjue kufikiri na siyo kuwa wa hovyo hovyo kwani hata mwenye dini yake / neno lake Yesu Kristo wa Nazareth hakuwa wa hovyo hovyo Kichwani kama tunaojifanya kukariri maandiko.
 
Hata wewe inae bisha bado una nafasi ya kudhibitisha haya.weka vyeti vyake tuamini kweli kama ana singiziwa.
 
Hii habari inauongo mwingi sana Kwanza anasema darasa la saba hakufaulu lakini akasoma Pamba kisha anasema anavyeti vya ziro form4
hebu jaribu kufikirisha kichwa basi kaka. uongo uko wapi hapo? kwani ukifeli darasa la saba huwezi kwenda sekondari? pamba sekondari ni shule ya binafsi (private). private school huwa hazichukui waliofeli darasa la saba?
 
Kuhusu suala la vyeti nadhani gwajima alimaanisha result slip .na ilikuwaje apate division one akafanye certificate badala ya kwenda form five?
Au sijaelewa
 
U Unataka uthibitisho we subiri, kuwa mvumilivu amesema raisi asipochukua hatua atatoa vyeti hadharani
 
Tena usichokoze majirani wenye helikopta
 
Huyu sio mchungaji! ni social leader fulani hivi
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
labda useme ulimfahamu akiitwa Paul Makonda tangu akiwa std 7. ila historia ya jina Paul Makonda imeanza baada ya kumaliza kidato cha nne. ila akiwa Pamba Secondary, hakuitwa Paul makonda. Msikilize vizuri Gwajima
 
Pamba alianzia evening classes kipindi kile zinaitwa Taasisi baadaye wanafunzi wa jioni (Taasisi) waliingizwa kwenye mfumo rasmi au ulkuwa hujazaliwa?? Then anachosema cheti ni result sheet ya watahiniwa wa mwaka huo Pamba sekondari...
  • Miaka hiyo mnasoma evening class nilishamaliza shule siku nyingi huo ufafanuzi hajautoa yeye kasema kasoma Pamba hiyo ya Taasisi wewe ndo unasema na kuhusu Cheti kasema anacho hajasema ni matokeo ya kwenye gazeti wewe ndo umefanunua sasa sijui hii Script umeandaa wewe umempa gwajima!!
 
ATTACH=full]474862[/ATTACH]soma warumi 12:19 na kumbukumbu la torati 32:35
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-27-00-09-58.png
    25 KB · Views: 56
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…