Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

mimi nakushauri umchukue huyo mwanamke kwani kimsingi hakuna mwanamke mtamu kama mwanamke mzinzi, kwa sababu tayari unajua huyo siyo wako akikua mkabidhi babake wa halali nafikiri kisheria akiwa at seven years. Lakini pia kama utakuwa hutumii wivu kufikiri unaweza kumlea huyo mtoto anaweza kuja kuwa baraka kwako. ni hayo tu mkubwa.
 
Ningekuwa mimi ningesamehe. kwasababu wanaopenda niwachache wengi wanatamani hasa now days mmmh...... sikuhizi ukimpata mwaminifu sijui, Mungu nisaidie......Tena wake za watu ndio usiseme bora hata walio single sijui hawarizishwi na waume zao? yani kwenye maofisi humu wanajirahisisha kwa jijana jamani? kama wamezao wangekuwa wanaona kwakweli sijui ingekuwa inakuwaje kwakweli..........MUNGU NITANGULIE MIMI.

Mie nadhani wewe haujatendwa na mtu kama issue ya huyu kaka ndio maana rahisi kusema haya.

Huwa kuna donda ambalo kamwe halitatibika rohoni jamani na tumeona wengi, esp wanaume wanatumia makosa ya wake zao kuwatukana milele wakichukizwa na kitu, sasa huyu si kila siku atakuwa anajikumbusha tu.

Bora asepe, alikuwa nae kama MCHUMBA na sio gf. Watu wakifikia katika kuitana wachumba hatua hiyo inahusisha mengi sana.

Na huyu mwenzetu bado anaumia kwa hiyo ndio hivyo, mwishoni ataamua yeye.
 
Mbona ulimtoa nje kidogo kujadili jambo ambayo lilikuwa gumu kuamua mwenyewe? Mimi nitakupa ushauri gani wakati ni wewe uliyemtongoza mwenyewe, ukampeleka hadi kwenu.
Sikiliza, ndg mtwae huyu mwanamke, awe wako kwa misha yako yoote. Huyu kwanza ni saafi, tayari unajua ni shamba linalo zaa. Mbona wengi tu wana uzuri wa sura na tumbo flat lakini hawana tumbo la uzazi tena? Weshalikausha kwa vidonge vya majira.
Kama unataka watoto, huyu ndiye anakufaa. Ingekuwaje kama ungekutana naye mjini baada ya kuzaa na akakuambia hana mtoto? Acha ushamba, chukua mzigo. Nakuhakikishia huyu atakuwa mwaminifu siku zoote. Hata ungeenda London siku zijazo, huna haja kumwekea mitego. Hatarudia tena.
Kijana chukua mzigo wako, chapa mguu na furushi lake hilo, mwenye mzigo aje akuone kama yeye ni kidume kweli. Lakini kama akija mapema kabla ya kushusha mzigo huo akasema yeye ndiye mhusika na akaomba kuuchukua mapema, mruhusu na muendelee na maisha yenu na mkeo. Kama haji, mtoto ni wako tuuu.
 
Kwani amebakwa? Siametaka mwenyewe, huyo hata ukimuoa atakusumbua!

Tell her to get lost.... Don't be a sap!!!!!
 
mimi nakushauri umchukue huyo mwanamke kwani kimsingi hakuna mwanamke mtamu kama mwanamke mzinzi, kwa sababu tayari unajua huyo siyo wako akikua mkabidhi babake wa halali nafikiri kisheria akiwa at seven years. Lakini pia kama utakuwa hutumii wivu kufikiri unaweza kumlea huyo mtoto anaweza kuja kuwa baraka kwako. ni hayo tu mkubwa.
Shukrani kwa ushauri mkuu
 
Mbona ulimtoa nje kidogo kujadili jambo ambayo lilikuwa gumu kuamua mwenyewe? Mimi nitakupa ushauri gani wakati ni wewe uliyemtongoza mwenyewe, ukampeleka hadi kwenu.
Sikiliza, ndg mtwae huyu mwanamke, awe wako kwa misha yako yoote. Huyu kwanza ni saafi, tayari unajua ni shamba linalo zaa. Mbona wengi tu wana uzuri wa sura na tumbo flat lakini hawana tumbo la uzazi tena? Weshalikausha kwa vidonge vya majira.
Kama unataka watoto, huyu ndiye anakufaa. Ingekuwaje kama ungekutana naye mjini baada ya kuzaa na akakuambia hana mtoto? Acha ushamba, chukua mzigo. Nakuhakikishia huyu atakuwa mwaminifu siku zoote. Hata ungeenda London siku zijazo, huna haja kumwekea mitego. Hatarudia tena.
Kijana chukua mzigo wako, chapa mguu na furushi lake hilo, mwenye mzigo aje akuone kama yeye ni kidume kweli. Lakini kama akija mapema kabla ya kushusha mzigo huo akasema yeye ndiye mhusika na akaomba kuuchukua mapema, mruhusu na muendelee na maisha yenu na mkeo. Kama haji, mtoto ni wako tuuu.
Shukrani kwa mawazo...nitatupia moyo kama waweza kubeba hilo!
 
mmh! yaani bidada kaamua ku-cheat kavukavu, yaani kampa mambo live kabisa bila kinga. kucheat ni kosa, ila kutotumia kinga ni kosa kubwa zaidi
 
Mie nadhani wewe haujatendwa na mtu kama issue ya huyu kaka ndio maana rahisi kusema haya.

Huwa kuna donda ambalo kamwe halitatibika rohoni jamani na tumeona wengi, esp wanaume wanatumia makosa ya wake zao kuwatukana milele wakichukizwa na kitu, sasa huyu si kila siku atakuwa anajikumbusha tu.

Bora asepe, alikuwa nae kama MCHUMBA na sio gf. Watu wakifikia katika kuitana wachumba hatua hiyo inahusisha mengi sana.

Na huyu mwenzetu bado anaumia kwa hiyo ndio hivyo, mwishoni ataamua yeye.
Shukrani Mzurimie...wengi katika maisha wanaweza sema lolote kabla yakukutwa na majanga...ila ukitendwa ndio unatia akili kichwani!
 
mmh! yaani bidada kaamua ku-cheat kavukavu, yaani kampa mambo live kabisa bila kinga. kucheat ni kosa, ila kutotumia kinga ni kosa kubwa zaidi
Si ndio hapo mkuu..nashindwa kunyambua swala hili!
 
Kabla ya kutendwa katika mambo hayo...unabaki kuwa mtoto sana...shukuru kama hayajakukuta...nasubiri maadamu unaishi katika sayari hii!

nasisitiza acha kulialia , hapo hamna cha kukupa msongo wa mawazo.............
 
Mkuu pole sana. Usitumie hisia katika hili, tumia akili zaidi. Jaribu kufikiria mchakato mzima hadi akapata mimba,inaonekana walianza mbali, kutoka kutongozana,kukubaliana, kuwekeana miadi, kukutana,na hatimae kubadilishana hardware za maungo yao.koooooote huko alikuwa hajui kama ana mchumba?
Imani yangu ni kuwa kwa kipindi chote hicho mlikuwa mnawasiliana na alikuficha, je unadhani ni mtu wa kumuamini tena huyo?
Fahamu kwamba baba wa huyo mtoto atakuwa na haki juu ya mwanawe na pia atakuwa na jukumu la kujadili na kupanga mustakbali wa mwanawe kwa kushirikiana na mama wa mtoto ambaye ni mchumba wako. Je upo tayari kuyabeba hayo katika maisha yako yote? Upo tayari kumkaribisha mume mwenzio sebuleni kwako akija kumuangalia mwanawe?upo tyari kumuacha sebuleni mchumba wako na mume mwenza wakijadili yahusuyo mtoto wao?kaka wanawake wenye sifa za kuwa wake wapo ila inategemea tu namna unavyowatafuta, mrudie mungu akuongoze katika kutafuta mke mwenye sifa sahihi za kuwa mke bora, huyo mama kijacho msahau kabisa.
Shukrani watu8 kwa maswali msingi ya kujihoji katika tafakuri yangu kabla ya uamuzi wangu wa mwisho!
 
Mbona ulimtoa nje kidogo kujadili jambo ambayo lilikuwa gumu kuamua mwenyewe? Mimi nitakupa ushauri gani wakati ni wewe uliyemtongoza mwenyewe, ukampeleka hadi kwenu.
Sikiliza, ndg mtwae huyu mwanamke, awe wako kwa misha yako yoote. Huyu kwanza ni saafi, tayari unajua ni shamba linalo zaa. Mbona wengi tu wana uzuri wa sura na tumbo flat lakini hawana tumbo la uzazi tena? Weshalikausha kwa vidonge vya majira.
Kama unataka watoto, huyu ndiye anakufaa. Ingekuwaje kama ungekutana naye mjini baada ya kuzaa na akakuambia hana mtoto? Acha ushamba, chukua mzigo. Nakuhakikishia huyu atakuwa mwaminifu siku zoote. Hata ungeenda London siku zijazo, huna haja kumwekea mitego. Hatarudia tena.
Kijana chukua mzigo wako, chapa mguu na furushi lake hilo, mwenye mzigo aje akuone kama yeye ni kidume kweli. Lakini kama akija mapema kabla ya kushusha mzigo huo akasema yeye ndiye mhusika na akaomba kuuchukua mapema, mruhusu na muendelee na maisha yenu na mkeo. Kama haji, mtoto ni wako tuuu.
Niliona itakuwa ni nafasi nzuri Kuweza kuongea kwa uhuru na uwazi kwa pande zote mbili...ni kweli nilimtongoza mimi ila kumbuka mwanadamu ni mwanajamii! Zaidi nashukuru kunipa mawazo ya lakufanya!
 
Hitaji la moyo vs hitaji la mwili.uamuzi upo mikononi mwako.ila ningekuwa wewe ningeendelea na huyo binti! Hatuwezi jua ndani ya huo mwaka mmoja nini kimetokea kati yenu.then Wanawake wangapi wanalea watoto wa waume zao?
Shukrani kwa mwanga huo dad Munkari...
 
mmh! yaani bidada kaamua ku-cheat kavukavu, yaani kampa mambo live kabisa bila kinga. kucheat ni kosa, ila kutotumia kinga ni kosa kubwa zaidi
Umeona hatari hiyo...nami nimemweleza juu ya hatari hiyo katika mahusiano! Any kizazi hiki kazi kweli kweli!
 
Ukitaka mwanamke mwaminifu tafuta 'polygon!'Mwanamke ambaye havutii kabisa wanaume na hivyo kuepuka kushawishiwa na wakware.Huyo ndo atakuwa wako pekee.Hakuna mwanamke mrembo anayeweza kuwa mwaminifu usije ukajidanganya hata kidogo!Wapo wanaume wana ushawishi mkubwa na hawajawahi kukataliwa na mwanamke yeyote!Kama huna uwezo wa kulea mwache lakini kama unao,msamehe na uendelee naye.Hawa wanaokwambia piga chini waulize iwapo wana uhakika na wake zao ama wapenzi wao kuwa ni waaminifu 100%!Kitendo cha kupata ujauzito ni cha dk tu!Tena wakati mwanamke yuko katika kipindi hiki hata misimamo yake inaweza kuyumbishwa kirahisi(anakuwa restless)hadi apate haki yake.Kama unaogopa ku share mapenzi na wakware,kuwa mujahidina alafu mkeo awe anajifunika gubi gubi.After all wengi wana majini na huwa wanayaogopa kwa hiyo hawawezi ku cheat.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
mmh! wewe umetafuta wa design hiyo, au umeridhika kuibiwa
 
Misongo mingine ya mawazo ya kujitakia, sasa mtu ana mimba ya mwanamme mwenzio wee unasongoka nini?

Kama una kifua beba mwanamke na mtoto wake, kama huuna kifua tafuta mwingine uanze upya.

Afu unawaonea aibu wazazi wako, umekuwa mwali au ulikuwa unawaolea wao? Grow up!

Na kuzaa hakumfanyi huyo dada moja kwa moja asiwe mke mwema, labda alizidiwa na 'ash.ki' tu.
Mmhh...kazi kweli hata neno la faraja...hakuna neno maana nami najaribu kulibeba hili kiume maana hata kati ya marafiki wapo wanaosema niachane nalo na nisonge kimtindo...najaribu kuchuja!
 
Back
Top Bottom