bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
kitanda hakizai haramu.
Sijaelewa unataka tukushauri nini? Kama umuoe akiwa na mimba ama umuachie mume wa mtu aendelee nae?
teh kwani mimbaani sumu useme haoleki utakufa?Misongo mingine ya mawazo ya kujitakia, sasa mtu ana mimba ya mwanamme mwenzio wee unasongoka nini?
Kama una kifua beba mwanamke na mtoto wake, kama huuna kifua tafuta mwingine uanze upya.
Afu unawaonea aibu wazazi wako, umekuwa mwali au ulikuwa unawaolea wao? Grow up!
Na kuzaa hakumfanyi huyo dada moja kwa moja asiwe mke mwema, labda alizidiwa na 'ash.ki' tu.
Badala kushukuru kwamba umejua ukweli unatuletea madukuduku kaa naye basi mshee na mwenzioWanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini Afrika Kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.
Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.
Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.
Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.
Misongo mingine ya mawazo ya kujitakia, sasa mtu ana mimba ya mwanamme mwenzio wee unasongoka nini?
Kama una kifua beba mwanamke na mtoto wake, kama huuna kifua tafuta mwingine uanze upya.
Afu unawaonea aibu wazazi wako, umekuwa mwali au ulikuwa unawaolea wao? Grow up!
Na kuzaa hakumfanyi huyo dada moja kwa moja asiwe mke mwema, labda alizidiwa na 'ash.ki' tu.
Wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini Afrika Kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.
Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.
Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.
Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.
Kama kaweza kubeba mimba ya mtu mwingine na bado akawa hana haya kukueleza....
jiulize ni kipi anaweza kukifanya akiwa ndani ya ndoa tayari.....
cut her loose and forget..... What a dumb girl...
So pathetic....
Bora kupasukiwa na yai .. Usiombe kupasukiwa na yai-viza!!
Kama kaweza kubeba mimba ya mtu mwingine na bado akawa hana haya kukueleza....
jiulize ni kipi anaweza kukifanya akiwa ndani ya ndoa tayari.....
cut her loose and forget..... What a dumb girl...
So pathetic....
Bora kupasukiwa na yai .. Usiombe kupasukiwa na yai-viza!!
Mi naamini mungu alitaka kumuumbua ili uone maovu yake kabla hamjaoana,inavyoonekana hajatulia na atakusumbua hata mkioana,fikiria hata mkiwa hapa lakini kazi zikawaweka mikoa tofauti itakuwaje?