Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

Ukitaka mwanamke mwaminifu tafuta 'polygon!'Mwanamke ambaye havutii kabisa wanaume na hivyo kuepuka kushawishiwa na wakware.Huyo ndo atakuwa wako pekee.Hakuna mwanamke mrembo anayeweza kuwa mwaminifu usije ukajidanganya hata kidogo!Wapo wanaume wana ushawishi mkubwa na hawajawahi kukataliwa na mwanamke yeyote!Kama huna uwezo wa kulea mwache lakini kama unao,msamehe na uendelee naye.Hawa wanaokwambia piga chini waulize iwapo wana uhakika na wake zao ama wapenzi wao kuwa ni waaminifu 100%!Kitendo cha kupata ujauzito ni cha dk tu!Tena wakati mwanamke yuko katika kipindi hiki hata misimamo yake inaweza kuyumbishwa kirahisi(anakuwa restless)hadi apate haki yake.Kama unaogopa ku share mapenzi na wakware,kuwa mujahidina alafu mkeo awe anajifunika gubi gubi.After all wengi wana majini na huwa wanayaogopa kwa hiyo hawawezi ku cheat.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kweli kuzidiwa kupo lakini basi siangetumia ata mpira au angemwambia jamaa atupie zigo lake kwa nje yani yote haya kashindwa hapo ndipo nnaposhindwa lakukuambia ndugu dah pole sana!
 
Wewe oa alafu sibiria baba wa mtoto awe anakuja mara kwa mara nyumbani kwako hata wewe ukiwa haupo kumsalimia mtoto wake.
 
naweza kusamehe chochote..kasoro unizinfu kwa mpenzi wangu..yaani hakuna malumbano hapo...ruuuuuuuuuuuun
 
mkuu hiyo takataka tupa dampo

huna hata haja ya kuumia, just relax na tafuta mwingine kabisaa fasta fasta ili usimkumbuke

wanwake wengine mikosi mitupu
 
Tena hakutumia kondomu hata
Hakuna haja ya kumsamehe huyo ni nyoka tena ndumila kuwili anajifanya anakupenda kumbe hamna lolote. Ameamua kuzin wakat anajua fika kuwa anamchumba akaona haitosh ameamua kukuletea mimba kamakwambwa ww n bwabwa la kulea mimba na dam za wenzio. Kaka najua umependa lakin sio penyewe........ Mm nakushaur usisikilize chochote mpge chin tu..... Run away....
 
pole sana,ila usimlaumu sana huyo binti,hicho kitu chake aliona we hutaki kukitumia akaamua kumpa mtu mwingine akitumie,alidhani huna shida nacho
 
Ningekuwa mimi ningesamehe. kwasababu wanaopenda niwachache wengi wanatamani hasa now days mmmh...... sikuhizi ukimpata mwaminifu sijui, Mungu nisaidie......Tena wake za watu ndio usiseme bora hata walio single sijui hawarizishwi na waume zao? yani kwenye maofisi humu wanajirahisisha kwa jijana jamani? kama wamezao wangekuwa wanaona kwakweli sijui ingekuwa inakuwaje kwakweli..........MUNGU NITANGULIE MIMI.
 
Wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini Afrika Kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.

Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.

Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.

Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.



Inauma ila kwa bongo hii imekuwa ni fasheni siku hizi kwani hata ukioa kuna uwezekano mkubwa ukaliwa chakula na mwingine huku wewe ukiwa kwenye pilika za maisha.
 
Umemwacha mwaka tu kakusaliti? Kwani alibakwa? Sidhani kama unahitaji ushauri ktk hili bali unahitaji kufanya maamuzi.
 
Misongo mingine ya mawazo ya kujitakia, sasa mtu ana mimba ya mwanamme mwenzio wee unasongoka nini?

Kama una kifua beba mwanamke na mtoto wake, kama huuna kifua tafuta mwingine uanze upya.

Afu unawaonea aibu wazazi wako, umekuwa mwali au ulikuwa unawaolea wao? Grow up!

Na kuzaa hakumfanyi huyo dada moja kwa moja asiwe mke mwema, labda alizidiwa na 'ash.ki' tu.
Nashukuru kwa ushauri wako ila ustaarabu wa lugha na maneno haitakuondolea chochote!
 
Ningekuwa mimi ningesamehe. kwasababu wanaopenda niwachache wengi wanatamani hasa now days mmmh...... sikuhizi ukimpata mwaminifu sijui, Mungu nisaidie......Tena wake za watu ndio usiseme bora hata walio single sijui hawarizishwi na waume zao? yani kwenye maofisi humu wanajirahisisha kwa jijana jamani? kama wamezao wangekuwa wanaona kwakweli sijui ingekuwa inakuwaje kwakweli..........MUNGU NITANGULIE MIMI.
Shukrani kwa maneno ya faraja na uzoefu wako!
 
pole sana,ila usimlaumu sana huyo binti,hicho kitu chake aliona we hutaki kukitumia akaamua kumpa mtu mwingine akitumie,alidhani huna shida nacho
Ok kumbe...basi ni vema kama ndivyo asione kurudi kwangu...au?
 
Hitaji la moyo vs hitaji la mwili.uamuzi upo mikononi mwako.ila ningekuwa wewe ningeendelea na huyo binti! Hatuwezi jua ndani ya huo mwaka mmoja nini kimetokea kati yenu.then Wanawake wangapi wanalea watoto wa waume zao?
Dada Munkari...yote yawezekana ila yahitaji uwezo kutoka juu...si rahisi kihiivyp!
 
Misongo mingine ya mawazo ya kujitakia, sasa mtu ana mimba ya mwanamme mwenzio wee unasongoka nini?

Kama una kifua beba mwanamke na mtoto wake, kama huuna kifua tafuta mwingine uanze upya.

Afu unawaonea aibu wazazi wako, umekuwa mwali au ulikuwa unawaolea wao? Grow up!

Na kuzaa hakumfanyi huyo dada moja kwa moja asiwe mke mwema, labda alizidiwa na 'ash.ki' tu.
Shukrani kwa neno...ila lugha duuuuuu siyo yenye staha!
 
Wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini Afrika Kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.

Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.

Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.

Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.
Mkuu pole, Wewe sepa zako maliza masomo tafuta mtu mwaminifu..huyo kakusaliti...Waombe radhi wazee waambie "hiyaana alofanya demu huyo"..Sasa funga file !! Hazina ya mabinti imejaa wapenda ndoa. Ubarikiwe mwema mrembo. Uwe imara usimrudie maana kesho matatizo yatakuandama (Mtoto wake, Mwanaume wake,ukoo wake, nk) hutayaweza maisha yatakuelemea.! start newlifu with new focus. Good luck ,blessings
 
Mkuu Mungu ana makusudi yake. kakuonesha mapema so shukuru Mungu maisha yaendelee kama kawaida
 
Back
Top Bottom