Shukrani Mwasi kwa neno la kunipa mwanga!Pole sana mkuu. Ningekuwa wewe ningevunja tu huo uchumba, mi kwangu kosa kubwa kabisa la kuvunja uhusiano ni kucheat. Kama ameshindwa kuvumilia huku mwanzoni kwenye ndoa ndo ataweza. Ila mwamuzi ni wewe.
Amina ndugu Mtoboasiri...neno zito hilo! Shukrani!Mke mwema hutoka kwa Bwana, muombe Mungu atakuonyesha njia!
Shukrani Mpenzi Jini...ndio maisha!Dah. Pole sana kaka hayo ndiyo majaribu ya dunia hii, na hicho ndicho kipimo cha mwanamke kama anauvumilivu na upendo wa kweli.
Shukrani kwa wazo Bak...Pole sana Mkuu kwa yaliyokukuta. Wewe ndio mwenye maamuzi ya mwisho kama unaweza kumsamehe au la ila washirikishe na Wazazi wako pia kabla ya kufanya uamuzi wako. Pole sana.
wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini afrika kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.
Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.
Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.
Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.
Shukrani ndugu kwa mawazo na ushauri!pole mdau cha kufanya wewe anza maisha mapya u deserve more than that na sio drama za kipuuzi. huyo dada sio mwaminifu na hajalu afya yake. wakati wanafanya hlo tendo tena naaamini sio chini ya mara 10 alikuwa hajui huyo mwanaume ni married man, kinga hakuzijua. wewe ni mwanaume fanya maamuzi ambayo hutafedheheka mbele ya jamii inayokuzunguka. wazazi ni waelewa waeleze ukweli wote tena wao ndio watakushauri vizuri usiogope kuongea nao.
pole kwa kupenda mtu asiye na mapenzi kwako.
Shukrani Potifar...bora kuvunja uchumba kuliko kuvunja ndoa jamaa amka......!!!
Wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini Afrika Kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.
Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.
Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.
Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.
Shukrani kashesho kwa nenotafuta mwingine huyo hakufai tena
Ok inaelimisha hii!Je wewe south hujagonga mzigo????mwanamke kuwa na mtoto mmoja ,wawili n.k sio ishun kama unampenda unamuona na maisha yanaendelea. Na hakika hatarudia tena.unapaswa kufahamu kuwa wanawake huwa hawawezi kuvumilia muda mrefu sana
Duuuu majanga kweli mtu mzima!oa then aje zaa na baba ako mzazi/boss wakondio utajiunza na msongo wa mawazo kukuishia
Wanajamvi ni masikitiko na majonzi kwangu na kuumia sana moyo...maana nilitokea kupendana sana na binti mmoja wa kisukuma na hata kutambulishana kwa familia zetu...mwaka jana nimebahatika kupata nafasi ya masomo nchini Afrika Kusini...na mwaka huu niliporejea nchini nimemkuta mchumba wangu tayari ni mjamzito wa miezi mitano...maana nilirudi tu bila kumpa taarifa kuwa narudi kwa likizo, na hapo alihamaki sana kuniona ghafla nyumbani kwao...tayari akiwa na tumbo kubwa.
Basi baada ya salamu na kumuomba kwa upole tutoke ndipo akanisimulia mkasa wote kuwa amepata mimba na muhusika ni mume wa mtu ambaye ni mfanyakazi mwenzake ofisi moja. Binti analia na kuniomba msamaha kwa lililotokea na anataka tuendelee na mipango yetu ya awali. Sikutaka kumwambia chochote zaidi ya kubaki na mshangao wa tukio zima na kuona kama movie ya kibongo.
Wadau kiufipi nipo katika msongo mkubwa wa mawazo na hasa aibu kwa wazazi wangu ambao walimpenda sana huyu binti na kuona ni hazina ya mke mwema katika maisha yangu.
Nawakilisha kwenu wadau kuomba mawazo na uzoefu wenu katika hali ya namna hii...ninyi mnaniambia nini. Shukrani hapa nimeweka kwa ufupi hasa mawazo makuu ya mkasa wenyewe.