Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Nilitaka kusema hivi mkuu.

Ila anajipa upofu et msikivu msikivu anakudanganya mama yake atazimia?
Kama ni hivyo hata ukimuoa atamsikiliza mama yake kuliko wewe.

Ukikutana na mwanamke wa hivi. Jua wewe ni waziada sana. Ulivyo mpumbavu utaendelea kupoteza muda kwake finally utapigwa tukio ubaki kulaum.


usimwamini mwanake.
Tena huko anakoenda wanaenda kufundishwa ideology mpya za maisha atabadilika kabisa na kuwa mwingine.

Kibaya zaidi anaenda kuwa polisi. Tangu lini polisi akaaminika hata wao wenyewe tu hawaaminiani.


Naona unajifunza mapenzi hata hiyo masters yako haikufai ungeishia la saba tu.
Exactly, asimuamini mwanamke

Vice versa is true

Mwanamke pia asimuamini mwanaume

Anaweza akaachwa, akatelekezwa, akapata huduma kwa masimango, akatafutiwa mke mwenzake nk

Usiangalie kwa mwanaume tu wakati wanawake ndio waathirika wakubwa

Mimi dada yangu alikuwa muhasibu katika taasisi binafsi, akampata mwanaume akamuachisha kazi kwa ahadi atakuwa anampa kiasi fulani kila mwisho wa mwezi.

Alivyoacha tu kazi, hizo hela hakuwahi kupewa, mwanaume katafuta manzi mwingine, ndoa ikawa taabani hadi Kuachana

Huku sister akaanza kuhangaika kutafuta kazi bila mafanikio, mwisho kaja kupata kazi hapati hata nusu ya pesa aliyokuwa anapata mwanzo ila akakubali kufanya

Familia imejifunza
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Police siyo mke, endelea na maisha yako
 
Kwanza Hapo mke huna,kwa Sheria za kijeshi mambo ya kuoana au kuolewa ni hadi ipite miaka mitatu ya ajira labda umuoe kimila then ikipita miaka hio mitatu ndo unaruhusiwa kumuoa.
Visiting day ni baada ya miezi mitatu.
Miezi mitatu ya mwanzo kambini huwa ni ya kuwaondolea uraia so hawarusiwi kuchangamna na maraia.
 
Pumbavu! Kumbe we ni mgeni wa mapenzi na ndio unaanza kupenda! Ndio una balehe nini? Huu ni ugeni kwenye mapenzi, ngoja uyazoe, ukishayazoea na kuwajua wanawake tabia zao hutakaa uandike njozi hizi za mapenzi. Hizi ni njozi za mapenzi kwa vijana wanaoanza kupenda huona mwanamke fulani wanapendana sana kumbe ni kipindi cha mwanzo tu na cha mpito kwenda kwenye mapito ya milima na mabonde ya mahusiano ya kimapenzi, huwa kuna nyakati ngumu na ni lazima penzi lipitie changamoto hiyo mpaka wapenzi hujuta kufahamiana na kukutana, ila endelea na njozi zako za kupenda maana uko kwenye kipindi cha awali kuyajua mapenzi kama kijana mdogo anayebalehe
Ikifika kipindi hicho ndio hata kutoa hela kwa ajili ya huduma anakuwa mzito

Huyo mwanamke ndio ataanza kujilaumu Kwa nini aliacha kazi
 
Tabia ya mtu huwezi ijua akiwa under control ya wazazi ni hadi awe kwenye uhuru fulani mfano hostel.
Ukitaka kuijua tabia halisi ya mtu muulize rafiki yake au house girl wao,kuna tabia za kwenye uchumba na kuwa tabia za akishakuwa ndani ya ndoa na anakamata pesa.
 
Kwenye hili la Upolisi Hakukusikiliza japo wewe una mshahara mzuri tuu wakuweza kumudu mahitaji yake hata pia ya familia yake kwa kiasi furani lakini bado unamuita ni msikivu!!!!!.

Inaonekana bado hujawajua wanawake Vizuri hasa hawa Career women. Hiyo ni redflag na unaipuuzia kama ambavyo wanaume wengine wanaoteseka kwenye Ndoa zao hivi leo walipuuzia mambo kama haya huko nyuma.

Labda nikwambie tuu Her Career and then her Job are more important than you and your future marriage (if it will happen)
Ulitaka binti asiende huko kisa ni girlfriend tuu.. maana huyu hata posa hajatoa. Kuna guarantee gani huyu jamaa akirudi toka huko anakoenda scholarship atakuja kumuoa?
 
Ulitaka asisikilize familia yake akusikilize wewe boyfriend ambae hana uhakika na future yenu
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Kijana, nitajie jina lake ili niwe nakusaidia kumlinda dhidi ya mbwa wakali waliojaa eneo hili.
 
Usishawishike kumwacha abadan. Hawa watu wakishavua sare wengi huwa ni wangwana sana. Nimeshuhudia familia nyingi bora za maaskari. Endelea kutusaidia kuhakikisha anasalia kuwa mwema na kutuongezea idadi ya askari wema
Hao ni vibaka tu kama vibaka wengine mtu anaota usiku anakuuliza KWA NINI HUNA LESENI TAIRI YAKO KIPARA haya Shuka kumbe mko kitandani ndotoni 😂😂
 
Ikifika kipindi hicho ndio hata kutoa hela kwa ajili ya huduma anakuwa mzito

Huyo mwanamke ndio ataanza kujilaumu Kwa nini aliacha kazi
stage za kuyajua mapenzi huwa zinabadilika kadri mnavyozoeana na muda unavyoenda. Mtajikuta mnaonana kama kimba ukifika muda wake!
 
Tafuta mchumba mwingine mkuu labda kama, sorry kukwambia hivi.




NB:Niliwahi kuwa na mchumba miaka kadhaa iliyopita akaenda JWTZ, mipango yote ilivurugika..... saizi ni rafiki tu ni captain yupo hapo upanga,amezaa na wanaume watatu tofauti, daah ni story ndefu ila inasikitisha maana huko majeshini kuna mengi,japo usichana wake ni dhambi yangu 😔
Nimependa huo utenzi wa mwisho "Japo usichana wake ni........
 
Kule maafande wanawagalagaza kama wanavyotaka. Hakuna demu wa kukaza kule,lazima aachie kitumbua la sivyo
 
Acheni kuchumbia wanawake ambao hawajajipata, bado wanajitafuta. Hawa hubadili gia angani wakishajipata wanabadili mawazo ya kuolewa. Oeni wanawake ambao wametulia kwenye shughuli zao na wanahitaji wa kuwaoa bila tamaa
Waliotulia ndo hawa single mothers. Yaani kote ni pa moto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom