Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Hakuna kutembelewa mpaka graduation. Kwanini asiendelee na kazi yake au kujiunga nawe Uingereza?
hapa tunavyoongea ameshaenda CCP tayar ,Duh kwahyo hata ndugu hawawatembelei? duh mbna hatar
 
Dah pole mkuu...we endelea na shuhuli zako zingine tu ..au tafuta mwingine. Najua kwanini naongea hivi.
sio kwel wacha nimsubirie tu miez tisa sio mingi mkuu ,namjua hawez kubadilika
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Hapa kilichobaki kwako ni kupiga punyeto tu, huyu si wako tena na hivi kaenda kusoma huko atakutana na wajanja zaidi na wenye kazi ya uhakika. Anza tu mazoezi ya punyeto uyazoeee.
 
Kakudanganya
In take yao hawaendi ccp bali wanaenda kilele pori kule bomang'ombe.
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Huyo kwisha habari yake, kishaenda kujifunza kuua na kuteka bado unamuhesabia kuwa mchumba kweli? Huyo anarudi kukuteka na kukutesa tu kama si kukuua.
 
Pumbavu! Kumbe we ni mgeni wa mapenzi na ndio unaanza kupenda! Ndio una balehe nini? Huu ni ugeni kwenye mapenzi, ngoja uyazoe, ukishayazoea na kuwajua wanawake tabia zao hutakaa uandike njozi hizi za mapenzi. Hizi ni njozi za mapenzi kwa vijana wanaoanza kupenda huona mwanamke fulani wanapendana sana kumbe ni kipindi cha mwanzo tu na cha mpito kwenda kwenye mapito ya milima na mabonde ya mahusiano ya kimapenzi, huwa kuna nyakati ngumu na ni lazima penzi lipitie changamoto hiyo mpaka wapenzi hujuta kufahamiana na kukutana, ila endelea na njozi zako za kupenda maana uko kwenye kipindi cha awali kuyajua mapenzi kama kijana mdogo anayebalehe
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Alichokifanya ni sahihi 200%

1. Mapenzi yanapungua na kuisha kabisa, hapo ndipo umuhimu wa kazi utakuja

2. Ungemuoa wewe mwenyewe ungemuona mzigo kama ambavyo wengi tunaona baada ya ndoa

3. Huwezi kumeet demand zake na za familia yake ( ungemchoka mapema tu hasa kama familia ina mategemeo makubwa sana kwake)

MWISHO
Ni upumbavu mkubwa Kuacha kazi kwa ajili ya mwanaume ambaye badaye akikuchoka anakufanyia vitimbi na kukuona huna thamani kisa huna kazi nk.

Wanawake kibao wameachishwa kazi kisha baadae wakatelekezwa na hao wanaume wao.

Tafufa mwanamke anayefanya kazi unayoipenda, ila mimi siwezi kuruhusu mtoto wangu aache kazi kisa mwanaume ambaye hana guarantee ya kuisha naye muda wote
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Wanaowana na kukulana wao kwa wao ...huyo sio wako tena maana moja kupangiwa ulipo ni kipengele.
 
Ngoja amalize six week kama hata atakumbuka jina lako kwa usahihi. Labda kama hawana hicho kipindi huko CCP.
Kifupi angalia uelekeo mwingine mkuu maisha ya kozi yana mambo mengi sana.
 
mwanzo niliovereact tu ila sasa hivi nishakubali ,siwezi kumuacha ntakua naenda kumtembelea
Hilo sahau, kule mambo ya mapenzi ni hakuna kabisa

Sheria ni kali kinoma hata kwa walio pale, kukaa na mwanamke ni jau.



Pia kama una plan naye miezi 6 mpaka mwaka mmoja sio muda mwingi

Maana hata ukienda huwezi kugonga,

Kama upo serious vumilia tu
 
Kwenye hili la Upolisi Hakukusikiliza japo wewe una mshahara mzuri tuu wakuweza kumudu mahitaji yake hata pia ya familia yake kwa kiasi furani lakini bado unamuita ni msikivu!!!!!.

Inaonekana bado hujawajua wanawake Vizuri hasa hawa Career women. Hiyo ni redflag na unaipuuzia kama ambavyo wanaume wengine wanaoteseka kwenye Ndoa zao hivi leo walipuuzia mambo kama haya huko nyuma.

Labda nikwambie tuu Her Career and then her Job are more important than you and your future marriage (if it will happen)
Hizo ni hisia tu, wanaume tukishaoa hata kumuhudumia mke mda mwingine tunaona mzigo mzito

Kuna mda hadi unajiuliza mwenyewe, haya yote kisa K?

Kuhusu ndugu ndio kabisa

Hili jambo ukitaka uone uhalisia wake, chukulia huyo demu ni mtoto wako

Ungekubali aache hiyo kazi kisa mwanaume?

Mwanaume akipiga pumbu mwaka ashamchoka anaanza kumdharau na kutafuta michepuko mingine

Hata hizo huduma kwa mke tu zinaanza kutoka kwa masharti
 
Usijali broo Mimi Niko hapa TPS-MOSHI ,kuwa na amani kuruta hatombwi ovyo kama anajiheshimu ila kama yeye ndio anataka basi anaweza gongwa hata na kuruta mwenzake lakini kwa wakufunzi sio rahisi kwasababu tuna sheria Kari sana kama utakutwa unafanya mapenzi na kuruta utafukuzwa kazi hivyo sio rahisi kwa mkufunzi ku risk kazi kwa hicho kidemu chako
Humu Kuna watu wanaropoka tu ila uhalisia hawaujui

Wanaona pale ni sehemu ya uzinzi

Pale Kuna mapacha (me/ke) walifukuzwa miaka 2 iliyopita kisha kukaa pamoja kwa muda mrefu wakiongea

Pale sheria kama rula, watu wanafukuzwa sana kwa mambo ya uzembe uzembe ikiwemo uzinzi
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Anaitwa nani na ametokea mkoa gani tumepokee hapa chuoni?
 
Watu mnapenda kujisahaulisha wakati wengi wenu mmetokea familia za Mama Golikipa na maisha yalikuwa yanaenda na mkalelewa hadi leo mmekuwa hivyo mnajifanya kama vile ni jambo ambalo haliwezekani.

Anyway Mimi sijasema Mwanamke huyo akae nyumbani ila nimekuonesha tuu kuwa maisha ya Mama anabaki nyumbani kusimamia nyumba na malezi sio tuu yanawezekana bali ndio asili ya Familia zetu nyingi huko nyuma.

Hapa tunazungumza kuhusu hiyo kazi yenyewe ambayo hata mtoa mada ndio ametaka ushauri kwayo.

Unadhani kama ingekuwa ni Post ya TRA mtoa mada angetaka ushauri??

Kwaiyo nimemshauri kuwa kama ambavyo hajakusikiliza now kuhusu hilo la upolisi basi hatokusikiliza Chochote kuhusu career yake au kuhusu Ajira yake kwani hivyo kwake ni vya Muhimu kuliko Hata Ndoa yenyewe.

Sasa Mwanamke kuwa na msimamo huu ni Vizuri kama hajaolewa ila akiwa ameolewa kuna shida itapatika huko Mbeleni kwa sababu ndoa nayo ni taasisi inayohitaji kusimamiwa kuheshimiwa na kupewa kipaumbele jambo ambalo wanawake wakileo hawalijui au hawalitaki tena.

Wao kazi zao ni muhimu kuliko Chochote hata kuliko watoto wake mwenyewe.

Na ndio utaona watoto wa siku hizi wanalelewa kama mayatima ilihali baba na Mama wote wapo hai.
Ni sahihi maisha ya mwanamke kubaki nyumbani ndio asili.

ila sio kwa wanaume sisi wa generation hii

Watu wanapiga K mwaka mmoja wanazalisha wanaacha kisha mwanamke anaanza kutangatanga hajui nini cha kufanya

Katika kizazi hiki ambacho ndoa imechukuliwa ni kitu simple, Kuachana sio issue kubwa

Bora mwanamke afanye kazi, lolote likitokea asianze kupata presha ya vitu vidogovidogo kama kula nk .

NB
Wanaume wanaosapoti wake wabaki nyumbani ndio hao hao wanaoenda watoto zao wasome wawe na kazi ili wasiwe wategemezi wa waume zao.

Katika hili wanawake ndio wanajua zaidi kutokana na manyanyaso wanayopata kwa waume zao kwa kutokuwa na kazi /kuwa wategemezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom