Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Kwenye hili la Upolisi Hakukusikiliza japo wewe una mshahara mzuri tuu wakuweza kumudu mahitaji yake hata pia ya familia yake kwa kiasi furani lakini bado unamuita ni msikivu!!!!!.

Inaonekana bado hujawajua wanawake Vizuri hasa hawa Career women. Hiyo ni redflag na unaipuuzia kama ambavyo wanaume wengine wanaoteseka kwenye Ndoa zao hivi leo walipuuzia mambo kama haya huko nyuma.

Labda nikwambie tuu Her Career and then her Job are more important than you and your future marriage (if it will happen)
 
Tatizo la hizi kazi za ulinzi, hasa majeshi. Ni kizungumkuti kdg ktk mahusiano.

Kaka angu alikuaga na mchumba. Yule wizzo alikua anampenda sana broohz. Akapataga chance ya kuingia jeshini JWTZ. alivyorudi kutoka mafunzoni, kila kitu kuwahusu kiliishia hapo.

Ila namsifu yule wizzo, alimueleza wazi broohz aliyokutana nayo kulee, akamuambia ukweli haoni km anastahili kuwa nae, na mengine mengi siwezi eleza hapa. Kwa kifupi iliisha hivyo.

Nweiii, wee kuwa sambamba na huyo mdada, huenda mkafika mbali ktk safari yenu ya mapenzi, na mkafanikiwa pakubwa.

Kila la kheri kwenu.
 
Manyoya hapo, keshaliwa huyo si wako tena
Mbna kuna mademu wanamaliza mafunzo ya jkt ,polisi na wana bikra zao au hata kama sio bikra wakifika kule wanajitunza,,,,,,
Nb;kama manzi ana sura nzuri na shape hawa huwa wagumu kukaza
 
unaijua Depo au unasikia...??? Atagongwa sanaa...
Mzee ww una onekana unaongelea zile stori za mitaani,,,mm nimepita jkt tena miaka ile mafunzo yalikua magumu sana ila kuna mademu walikua wanawakazia wakuu wapo tayari kula kazi ngumu ila sio kujirahisisha kuvuliwa chupi
 
Vijana ni wajinga sna hawajui hata maana ya mapenzi na kujiweka mbele wao kama wao kazi yao ni kujali tu kisa demu analo tako🤔
Wee mbna unajari pombee? Waache wenzio wajari msambwandaa.
😂😂😂😂😂
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
POLISI NI KAZI YA LAANA HUYU SIYO MKE.
 
Kwenye hili la Upolisi Hakukusikiliza japo wewe una mshahara mzuri tuu wakuweza kumudu mahitaji yake hata pia ya familia yake kwa kiasi furani lakini bado unamuita ni msikivu!!!!!.

Inaonekana bado hujawajua wanawake Vizuri hasa hawa Career women. Hiyo ni redflag na unaipuuzia kama ambavyo wanaume wengine wanaoteseka kwenye Ndoa zao hivi leo walipuuzia mambo kama haya huko nyuma.

Labda nikwambie tuu Her Career and then her Job are more important than you and your future marriage (if it will happen)
Kwahy mdada anatakiwa akae nyumbani awe anasubiria mshahara wa mume? Ikiwa alikuwa ashatafuta nafasi na akapata? Aiache kwasababu gani? Na huyo kaka umeskia anaenda kusoma nje ya nchi, ikitokea akapata mchumba mwingine huko yy huyu wa huku atabakije?
 
Tatizo la hizi kazi za ulinzi, hasa majeshi. Ni kizungumkuti kdg ktk mahusiano.

Kaka angu alikuaga na mchumba. Yule wizzo alikua anampenda sana broohz. Akapataga chance ya kuingia jeshini JWTZ. alivyorudi kutoka mafunzoni, kila kitu kuwahusu kiliishia hapo.

Ila namsifu yule wizzo, alimueleza wazi broohz aliyokutana nayo kulee, akamuambia ukweli haoni km anastahili kuwa nae, na mengine mengi siwezi eleza hapa. Kwa kifupi iliisha hivyo.

Nweiii, wee kuwa sambamba na huyo mdada, huenda mkafika mbali ktk safari yenu ya mapenzi, na mkafanikiwa pakubwa.

Kila la kheri kwenu.
ahsante sana🙏
 
ahsante sana🙏
Usijali broo Mimi Niko hapa TPS-MOSHI ,kuwa na amani kuruta hatombwi ovyo kama anajiheshimu ila kama yeye ndio anataka basi anaweza gongwa hata na kuruta mwenzake lakini kwa wakufunzi sio rahisi kwasababu tuna sheria Kari sana kama utakutwa unafanya mapenzi na kuruta utafukuzwa kazi hivyo sio rahisi kwa mkufunzi ku risk kazi kwa hicho kidemu chako
 
Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo nilimwambia kwamba baada ya miez miwili ntaenda kupeleka posa kwao then nikae nae maana hapa ninapofanya kazi ninaingiza zaidi ya milion kwa mwez

Niseme kwamba niligombana nae sana alivyoniambia kuhusu polisi maana kwa mimi sijaiona kama ni kazi ambayo nilitaka mke wangu aje kuifanya kulingana na purukushani zake ,nikamtishia hadi kuachana nae ila ndyo hvyo binti hameshindwa kasema kuacha huku akidai kwamba atamuua mama yake kwa presha akikataaa sasa hivi

Ujumbe wake wa mwisho kwangu sababu kulingana na sheria za Chuo cha polisi Moshi hairuhusiwi kutumia simu ,nimeconfirm pia jina lake kwenye pdf la waliochaguliwa

Ujumbe wake wa mwisho ulikuwa " Nakupenda na naamin ndani yako kuna mwanga ambao Mungu mwenyew ameuweka,kila unachogusa kitafanikiwa naomb kwa Mungu akulinde na akutie nguv akufungulie na milango ya baraka Usisahau Nipo nawe na naamin kwako na moyo wangu upo upande wako daima....ubaki salam naiman kat ya watu waliochaguliwa kwenye scholar ship nawe upo ntakutafut Nikipata nafas na ikiwa nmerud hutakii mahusian na mim ni sawa ntakubalian na halii ila juwa Nakupenda San kutokukusikiliz kweny hili sio shida kwangu Niachee kukupendaa coz ni mwanaume mwema San kwangu na haijawah kutokea...sijawah kufikiria ksm ntskuj kupenda kuwa polis ila maish ya nyumbn na yangu nmeamua kufany maamuz haya...nakupenda San kaa ukifaham Hilo"

Niongeee kwamba huyu binti amekuwa mwanamke bora sana kuwa nae anasifa zote ,ni mpole anaskiliza ,hana mawenge yani she is perfect , binti pia anatokea Tanga ila anakaaa pwani.

Japo na mimi nina ondoka kwenda kusoma masters kwa scholarship Nchini Uingereza mwez wa tisa mungu akipenda ambapo ntakaa mwaka mmoja ila jambo hili limeniuma maana she is the one sitamani nimpoteze

Je nauliza Utaratibu wakumtembelea Mtu CCP moshi ukoje ,nikisema atleast niwe naenda moshi kila mwisho wa mwezi kumtembelea ruhusa yao ipoje ?

Wameondoka juzi tarehe 12 na ameniahidi kunitafuta japo sjui ni lini maana hawaruhusiwi simu ?

Kwenda moshi sio shida maana ndo nyumbani nimezaliwa na nimesoma mpaka form six kabla yakuja dar kusoma chuo na kufanya kazi

Je Kuna usalama kwel wa watoto wakike hapo CCP ? japo binti anajitambua sana najua hawez fanya ujinga .

Ntashukuru Nikipewa majibu
Wataonja wakufunzi wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom