Kizimbuzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 1,569
- 745
Teheeh!teeheeh!karibia nitaanza na wwe ili uamini vgezo nnavyo,then nikishakupata nasepa.
UKWELI UKO HIVI:
Wanawake wengi wa kichaga
1.Wanaabudu pesa kuliko utu(wengi wao ni wanadamu na sio watu)
2.Wengi wana kiburi na sio challenges(fahamu kutofautisha changamoto na kiburi)
3.Si waaminifu na michepuko ndiyo fani yao(japo si wote)
4.Majigambo mengi na kujisifu,ilihali hawana kitu(wanasahau sifa na utukufu ni wa MUNGU)
5.Wengi ni walevi(wanywa pombe) na hawako serious katika imani.
SAYUNI MPENZI,WWE UNATOKEA WAPI?
NA UPO KUNDI GANI?
------
Wewe si Mchagga, na huwajui Wachagga....Ulichokiandika ni uzushi, na vya kufikirika...Kwa taarifa yako wanawake wa Kichagga wanaongoza kwa kupendwa hapa Tz.....Wewe kyasaka endelea kuwa na ndoto mgando....////