dotnet
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 393
- 153
kutegemeana na mwenendo wako mkuuu... na hiyo ni individual heart and not society mkuu
Uko right. Ndio sababu nilisema aseme na mzazi aone mzazi anaamini nini? Ni suala la kuongea na kuelewana sio vita!
kutegemeana na mwenendo wako mkuuu... na hiyo ni individual heart and not society mkuu
Uko right. Ndio sababu nilisema aseme na mzazi aone mzazi anaamini nini? Ni suala la kuongea na kuelewana sio vita!
Swali la nne......nini maana ya ndoa..?swali la tatumtoa mada, atakaye watunza mke na watoto wako ni familia yako au wewe mwenyewe?
shicha sha kyofo .... mbonyi sha mama
usijali mkuu njoo uoe kwetu ujifunze kimarangu
iye mbe wiii wafoiiii mmmh nimekwama mahali
e kambe newe
--------
Ewe Mkiwoso ndi? Kulolye ichomba ely lyikusua sua yadi....lichowoo wana Wakichaka ko sababu wakundye kitawanon...ndu achalikaa uchake lasima nakushiike mbele, na nalawe kishoian....Wachaka na wana Wakichaka wawarango kwe kyo machomba nyalowoye mita mya inya....////
Oa wote huyo Msukuma na huyo Mchaga ili uwaridhishe wazazi wako na wewe mwenyewe respectively.jamani mimi ni kijana mwenye miaka 27 mwenyeji wa mkoa wa shinyanga muda wa kuoa naona umekaribia nikiwa masomoni nilimpata mchumba binti wa kichaga ana degree lakini nyumbani wanataka nioe kwetu usukumani na awe std vii wana jamvi nifanyeje?
a.k.a U.K.------- Usijali....ila upepo wa kuoa mpaka sasa unaelekea Uru, Kishumundu..../////
Na mchicha............. Mbony savo
Aika maeee........ Aika kyeku