Mchumba mchaga ,msomi jamani naomba ushauri

Mchumba mchaga ,msomi jamani naomba ushauri

-----

Achana na hawa watu pori...Wasukuma ni maarufu kwa kukandamiza wanawake...Rejea mauaji ya vikongwe katika mikoa yao...Kwa kuwa hawawezi kuwakandamiza Wanawake wa Kichagga, ndiyo wanaanza kuandika upu.pu....Wachagga mwendo ule ule....I solute Chagga women for their stand.....NB: Mwanaume kishoia usijaribu kuoa Mchagga

ni kweli wamezoea ukandamizaji wa wanawake sasa wamekuta wanawake wa kichaga hawana masihara wanawaza maendeleo na wanaume wengi hawapendi kuambiwa nawapa hongera kwa msimamo hayo mengine sijui wauaji zimebaki zilipendagwa tu
 
kifo hakiko mbali na wewe,halafu chonga jeneza lako mapema maana usije tusumbua

Mmmh ila jaman wachaga ss malaya ,hasa madem doh,utafulia bab ,watakuchapia Had ukome,pia mapenz 0 ,akitoka zaa hhhhh analala na shombo ya maziwa ya mtto doh,kwa kifup oa watu wa pwan km unataka mapenz na kufanywa mfalme,
 
ni kweli wamezoea ukandamizaji wa wanawake sasa wamekuta wanawake wa kichaga hawana masihara wanawaza maendeleo na wanaume wengi hawapendi kuambiwa nawapa hongera kwa msimamo hayo mengine sijui wauaji zimebaki zilipendagwa tu

Mwache aoe wa kwao. Na huyo dada atapata wanakomridhia. Kuolewa sehemu ambapo haupendwi ni shida sana, nimeona rafiki yangu mmoja anateseka sana kwasababu mwisho wa siku mzazi ni mtu muhimu sana, mtoto asipomsikiliza ataonekana mkaidi, na hawezi please wote mke na mzazi kwenye hii situation.
Wasije wakamloga bure hao visyaka.
Hodari sana wa ndumba hao watu.
 
Oa 2 kama unampenda bz mke utaishi nae wewe na sio ndugu zako! Nyie mnaomtshia mwezenu kuwa atapoteza uhai wake akioa mchaga kwa sasa ilo jambo halipo ilikuwa zaman na kwa baadhi ya WAMACHAME saiz n burudan unaoa kabila lolote kigezo kkubwa chagua mcha MUNGU karibuni had huku kwe2 nyanda za kusini kale kamsemo ka "we dondoshaga 2 thambi sako mwenyewe" kameisha saiz full msimamo.
 
jamani mimi ni kijana mwenye miaka 27 mwenyeji wa mkoa wa shinyanga muda wa kuoa naona umekaribia nikiwa masomoni nilimpata mchumba binti wa kichaga ana degree lakini nyumbani wanataka nioe kwetu usukumani na awe std vii wana jamvi nifanyeje?
Wanataka uoe kwani ndiyo watakaokaa na mke wako? Wasukuma kwa kwenda uchagani hamjambo pia ingawa hakuna sehemu iliyokataza
 
Mmmh ila jaman wachaga ss malaya ,hasa madem doh,utafulia bab ,watakuchapia Had ukome,pia mapenz 0 ,akitoka zaa hhhhh analala na shombo ya maziwa ya mtto doh,kwa kifup oa watu wa pwan km unataka mapenz na kufanywa mfalme,











------

Una utindio wa ubongo wewe
 
Mwache aoe wa kwao. Na huyo dada atapata wanakomridhia. Kuolewa sehemu ambapo haupendwi ni shida sana, nimeona rafiki yangu mmoja anateseka sana kwasababu mwisho wa siku mzazi ni mtu muhimu sana, mtoto asipomsikiliza ataonekana mkaidi, na hawezi please wote mke na mzazi kwenye hii situation.
Wasije wakamloga bure hao visyaka.
Hodari sana wa ndumba hao watu.












-------

Na niwachawi sana hawa vyasaka wa Kanda ya Ziwa....Mtu akiwa na machomekundu anaitwa mchawi.....Tuacheni Wachagga na Mungu wetu; ninyi bakini na uchawi wenu.....
 
kwani anae oa ni nani?

Wewe au familia? By the way huwa najiuliza watu wanaopangiwa/kuchaguliwa wenza wakipata matatizo ktk ndoa huwa wanawapeleka kwa waliowachagulia au?
 
kwani anae oa ni nani?

Wewe au familia? By the way huwa najiuliza watu wanaopangiwa/kuchaguliwa wenza wakipata matatizo ktk ndoa huwa wanawapeleka kwa waliowachagulia au?

Kama matatizo yatafikia kuyapeleka kwa wazazi hauoni itakuwa rahisi kwao kurudi kuomba ushauri na suluhisho kwa wazazi kuliko wale ambao walichagua wenyewe bila wazazi kuridhia?
 
Siwezi kukosa,ikizngatiwa vigezo vyote vya kumnasa mdada wa yeyote,awe wa kichaga ama vingnevyo ninavyo!

wenye vigezo hawajisemagi kila mtu na moyo wake unaoa mwanamke ambaye hafikirii maendeleo tatizo wanaume weng hawataki challenge that y
 
Jamani mimi ni kijana mwenye miaka 27 mwenyeji wa mkoa wa shinyanga muda wa kuoa naona umekaribia nikiwa masomoni nilimpata mchumba binti wa kichaga ana degree lakini nyumbani wanataka nioe kwetu usukumani na awe std vii wana jamvi nifanyeje?

Draw draft yenye column mbili moja weka msomi mchaga nyingine weka std vii....kisha weka sifa njema alizonazo kila mmoja akiwa mke. then make a decision. kwa std vii expect....humility, good care and respect...the other side utapata vyote lakini in time vinaweza kuanza kupotea na ukaanza kutafuta nyumba ndogo iliyoishia darasa la nne.
 
woiii wasukuma wakenjenja fooo mbe wakeri cha isembo... na yeichiii honga cha kiki kukoruo tiki nuenengo heleri .... lakini inyi ngiwasuo wasoro wako ka isembo

huuuuuuuuui, wekero cha isembo??? dahhhhhh!
 
wenye vigezo hawajisemagi kila mtu na moyo wake unaoa mwanamke ambaye hafikirii maendeleo tatizo wanaume weng hawataki challenge that y



Teheeh!teeheeh!karibia nitaanza na wwe ili uamini vgezo nnavyo,then nikishakupata nasepa.
UKWELI UKO HIVI:
Wanawake wengi wa kichaga
1.Wanaabudu pesa kuliko utu(wengi wao ni wanadamu na sio watu)
2.Wengi wana kiburi na sio challenges(fahamu kutofautisha changamoto na kiburi)
3.Si waaminifu na michepuko ndiyo fani yao(japo si wote)
4.Majigambo mengi na kujisifu,ilihali hawana kitu(wanasahau sifa na utukufu ni wa MUNGU)
5.Wengi ni walevi(wanywa pombe) na hawako serious katika imani.
SAYUNI MPENZI,WWE UNATOKEA WAPI?
NA UPO KUNDI GANI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom