Mchumba mchaga ,msomi jamani naomba ushauri

Mchumba mchaga ,msomi jamani naomba ushauri

mi nakupinga kwan kwa vile ni mchaga ndo una mshauri hvo kwan mchaga hafai na umejuaje kuwa ata mu control au kwa vile uliona kosa la mmoja ndo ukaona ni wote gros generalization ni false ye kapenda mchaga








-----

Achana na hawa watu pori...Wasukuma ni maarufu kwa kukandamiza wanawake...Rejea mauaji ya vikongwe katika mikoa yao...Kwa kuwa hawawezi kuwakandamiza Wanawake wa Kichagga, ndiyo wanaanza kuandika upu.pu....Wachagga mwendo ule ule....I solute Chagga women for their stand.....NB: Mwanaume kishoia usijaribu kuoa Mchagga
 
nimekuwa NIKISIGANA na baadhi ya watu kuhusiana na hoja hii ya kushauriwa katika KABILA la kuoa. Wazazi wetu WAKO SAHIHI lakini wako nje ya muda, wao wanawaza miaka yao na kusahau kuwa tuko nyakati nyingine ambazo hata MWANAMKE wa kabila lako au wa elimu ya chini anaweza KUKUNYANYASA na kukutendea mabaya
 
kaka,
tafadhari tena tafadhari sana oa usukumani nasema oa usukumani. Mapenzi ni upofu na huyo dada nina hakika kishakulevya vya kutosha!wana lugha laini sana wanapotafuta ndoa na ukiwa ktk ndoa lazima uwechin yake upende usipende!Ni watafutaji wa mali na kimapenzi sio wazuri.NA ANAYEPINGA NA ASEME!!!










-----

Mtu pori.....tahadhari nyingine nazo!
 
jamani mimi ni kijana mwenye miaka 27 mwenyeji wa mkoa wa shinyanga muda wa kuoa naona umekaribia nikiwa masomoni nilimpata mchumba binti wa kichaga ana degree lakini nyumbani wanataka nioe kwetu usukumani na awe std vii wana jamvi nifanyeje?
usukumani kwenu hawajaendelea
OA mchagga upate maendeleo na msingi mzuri wa watoto....
muchless huyo binti si rangi yenu ya ugonjwa wenu,,,mpeleke wakaishie kukenua meno na kukusifia WABEJAA SANAA:biggrin1:
 
huyo binti wa kichaga lazima ameshanusa harufu ya mafaniko kwako...vipi unatokea pande za mwadui?
mchaga na msukuma wapi na wapi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom