ndio nani huyu wakuu?cc wengine tupo vijijini huku hao wa dar hatuwajui.lol
Hata ukifa tajiri hutorudi kamwe!Acha wivu mtoto wa kiume fanya kazi sio unakalia maandamano tu,utakufa Maskini shauri yako
gfsonwinKing Kong III hivi hili limezidi uzuri wa gari la yule mdada wa kihaya ile subaru?? amepimp gari yake sijui KOKUKENDA. jamani ile mashine nimeikubali.................
Davis Mosha lives a fulfilling life by doing what he loves best: business, rallying and football. He is an entrepreneur, a rally driver and owns a football club in Tanzania, his motherland.
this is what i am talking about
like other drug dealers he still lives at his mom house.
Ni jeep niliyomnunulia Demu wangu KOKUMWENDAKing Kong III hivi hili limezidi uzuri wa gari la yule mdada wa kihaya ile subaru?? amepimp gari yake sijui KOKUKENDA. jamani ile mashine nimeikubali.................
Atazikwa nayo hii?
Ni jeep niliyomnunulia Demu wangu KOKUMWENDA
Mpambe wa Riz1,utajiri ameupata mara baada tuu ya JK kuingia madarakani,ukimuuliza amepataje utajiri huo atakuambia malori ya kusafirsha mafuta wakati wapo akina KUGI's miaka nenda rudi wanafanya biashara hiyo hawajakua na pesa hizo.Na ni kawaida ya mtu anayepata pesa bila jasho ndiyo huchezea hivyo maana hata kuna gari ya mtoto wa Bakheresa aliinunua huyu jamaa.Ila kwa Manji aligonga mwamba na kutimuliwa Yanga
mi naomba kuuliza zinapita kwenye barabara hizi hizi tunazopita sisi au wao wanazo special?
Hivi yule ndugu yake kwa jina la Chale alikuwa ga mwehu flan hivi ashapona???Huyu jamaa sijui yupo nyuma ya kigogo gani?