godsonswai
Senior Member
- Feb 1, 2013
- 129
- 54
Kwani huangalii FUTUHI hata siku moja,ukaona zile SALUTE zilizoenda shule za yule anaesema anatoa mitaji kwa MUHA wote wa Mwanza !
ndio nani huyu wakuu?cc wengine tupo vijijini huku hao wa dar hatuwajui.lol
King Kong III hivi hili limezidi uzuri wa gari la yule mdada wa kihaya ile subaru?? amepimp gari yake sijui KOKUKENDA. jamani ile mashine nimeikubali.................
Kwani huangalii FUTUHI hata siku moja,ukaona zile SALUTE zilizoenda shule za yule anaesema anatoa mitaji kwa MUHA wote wa Mwanza !
Mkumbusheni akumbuke na kufanya marejesho isijekula kwake!!
http://delinagroup.com
Website ya kampuni yake hiyo angalieni biashara anayofanya sio mnakurupuka oooh drug dealer drug dealer
Nashukuru maana jina lilinitoka ananifurahisha na zile salute zake za nguvu !Anaitwa Karumanzira ila mjini muite Brother K tajiri la kiha.
Acha wivu mtoto wa kiume fanya kazi sio unakalia maandamano tu,utakufa Maskini shauri yako
ni kweli hii mashine kali wangu manake hata kama ni kwenye folen uko pembeni na kipisi chako utaona aibu mweeeh!Sijabahatika kuiona ila hii machine ya jamaa haipimiki ipo poa sana.
King Kong III hivi hili limezidi uzuri wa gari la yule mdada wa kihaya ile subaru?? amepimp gari yake sijui KOKUKENDA. jamani ile mashine nimeikubali.................
Chukua hiii....hapana chezea mhaya
nigeuzie picha bana
Chukua hiii....hapana chezea mhaya
Huyy kokwenda anaendesha jeep sio subaru na kama wataka kuiona tembelea mitaa ya UDSM huwa anapita pita sana mitaa ile