TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,184
- 18,201
AgreedWewe ndiyo unadefine namna hiyo. Tatizo ni lako
Naamini watanzania Bado hatujafikia kuitana takataka
AgreedWewe ndiyo unadefine namna hiyo. Tatizo ni lako
Hakuna ajuayeNa matokeo ya "matumizi ya lugha" hiyo.
Wewe kutojuwa, hakumfanyi kila mtu asijue.Hakuna ajuaye
Ila baadhi yetu wamefikia hatua ya kuua wenzao kisa itikadi zao za siasa zinatofautiana!Agreed
Naamini watanzania Bado hatujafikia kuitana takataka
Mimi nadhani ni Bora hiyo Lugha kuliko angetumia maneno kama Dhaifu, ama Hatuna Serikali n.k.... ama unaonaje Mkuu!?Lugha yake sio ya kistaarabu
Walio muua mzee Kibao ndio wenye lugha ya kistaarabu?Lugha yake sio ya kistaarabu
WAtu kutekwa mchana kweupe ni zaid ya lugha isiyo ya kistaarabuLugha yake sio ya kistaarabu
Sio wastaarabu ni wauwaji na hawastahili kuwa barabaraniWalio muua mzee Kibao ndio wenye lugha ya kistaarabu?
Ama unataka kusema kuua watu mchana ni jambo la kistaarabu?
Mkuu,Sasa hizi Kauli si ndio Huwa zinaleta ukakasi au?
Chura hachemshiwi maji ya kuogaBado watu wa Mama Samia hawajamuita kumuhoji? kisha tusubiri upelelezi ukamilike miezi 17.
Hizi Lugha wanatumia hadharani, ni dalili ya watu KUCHOKA na kuwa tayari kwa Lolote.
Samia amekuwa predictable sana, watu sasa wameshajua kuwa nikifanya hivi nitakamatwa, na wapo TAYARI.
Hii ni ishara ya Hatari kubwa sana hapo mbeleni endapo hali ikiendelea hivi.
Ewe sikio la kufa, tafadhali zibuka na usikie hii dawa.
Kwamba nini!Mboni umesahau kwamba .......
Sasa Kibao kuuliwa ni ustaarabu?Lugha yake sio ya kistaarabu
Chura haogi maji ya moto ndani ya ChunguKwamba nini!
If you think kifo ni kifo mimi ni nani nibadili mawazo yako.Sio wastaarabu ni wauwaji na hawastahili kuwa barabarani
Lakini e cant tukana everyone
But again, you cant demean everyone
Aah umenikumbusha nilikuwa nimesahau!Chura haogi maji ya moto ndani ya Chungu
Usipunguze makali ya ukatili wa wauaji wa mjumbe wa Kamati Kuu..kuuwawa na maiti yake kutobolewa macho haliwezi kuwa jambo dogo kwa chama cha siasa.
Ustaarabu kuchukuliwa kwa hatua stahiki na madhubuti za kukomesha hayo mambo ya kiwaki.Lugha yake sio ya kistaarabu
Na shida ya Tz ndio hii. Mtu anapotea watu wanagadhibika kwa hasira wanaongea kwa uchungu, aliyeuwawa uchunguzi haufanyiki na wala kwao hauwakeli ila kinachowakela ni maneno tu ya watu waliopoteza mtu wao . Kazi ipo sana.Lugha yake sio ya kistaarabu