GE2025 Mchinjita: Raia kuokotwa kwenye mabasi mchana kisha wakafa, halafu Serikali iseme ni Wasiojulikana, hiyo ni Serikali au Takataka?

GE2025 Mchinjita: Raia kuokotwa kwenye mabasi mchana kisha wakafa, halafu Serikali iseme ni Wasiojulikana, hiyo ni Serikali au Takataka?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ustaarabu kuchukuliwa kwa hatua stahiki na madhubuti za kukomesha hayo mambo ya kiwaki.
Inasikitisha sana. Kwamba Watu kuuwawa na kupotezwa sio issue....ila issue ni kwa mtu aliyepoteza mtu wake anapolalamika kwa hasira.
 
Usipunguze makali ya ukatili wa wauaji wa mjumbe wa Kamati Kuu.

Hatujui kama maiti ilitobolewa macho au mtu hai alitobolewa macho kabla hajauliwa.

Tofauti kama hizi, umakini katika kung'amua tofauti kama hizo ndo zinafanya wenzetu wana solve ma cold case crimes.

Mswahili akikuta maiti na kamba shingoni ana assume kwamba ilianza kamba kikaja kifo. Kajinyonga! Wivu wa mapenzi! Kumbe ni kifo halafu maiti ikavalishwa kamba gheresha!

Haiyumkini Mzee alitobolewa macho na bisibisi akiwa hai, akamwagiwa tindikali anasikia, akapigwa tofa la kichwa.

..Nimekuelewa.

..yote uliyosema ni ya msingi.
 
Back
Top Bottom