Usipunguze makali ya ukatili wa wauaji wa mjumbe wa Kamati Kuu.
Hatujui kama maiti ilitobolewa macho au mtu hai alitobolewa macho kabla hajauliwa.
Tofauti kama hizi, umakini katika kung'amua tofauti kama hizo ndo zinafanya wenzetu wana solve ma cold case crimes.
Mswahili akikuta maiti na kamba shingoni ana assume kwamba ilianza kamba kikaja kifo. Kajinyonga! Wivu wa mapenzi! Kumbe ni kifo halafu maiti ikavalishwa kamba gheresha!
Haiyumkini Mzee alitobolewa macho na bisibisi akiwa hai, akamwagiwa tindikali anasikia, akapigwa tofa la kichwa.