GE2025 Mchinjita: Raia kuokotwa kwenye mabasi mchana kisha wakafa, halafu Serikali iseme ni Wasiojulikana, hiyo ni Serikali au Takataka?

GE2025 Mchinjita: Raia kuokotwa kwenye mabasi mchana kisha wakafa, halafu Serikali iseme ni Wasiojulikana, hiyo ni Serikali au Takataka?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu akiendelea hivi hafiki 8 8 bila kutekwa
Na kubinywa kende kisha kubakwa na kulawitiwa huku anapigwa picha mjongeo kwamba akifanya fyoko wanaenda kuonyeshwa watoto wake na mkewe alichokua anafanywa baba yao
 
Nikweli katumia lugha ngumu sana maana ndani ya serikali kuna watu smart sana wasio stahili kuitwa hivyo.

Ila hii issue ni kama vile dokta anaye aminiwa kutibu watu halaf awe ndiye na skendo ya kudunga sindano ya sumu wagonjwa wake.
Hilo litakuwa jambo zito sana kuliko likifanywa na majambaz au panya road.
 
Takataka ni lugha nzuri serikali ya sasa ni takataka!
wanaua
wanateka
wanabaka
wanapoteza
TAKATAKA RUBISH!
 
Ila kuua ni ustaarab?
Kuua sio tu kwamba ni kukosa ustaarabu, ni kukosa utu kabisa

Je nani sasa ni takataka??? Serikali? Polisi? Muuaji? Rais? Bunge? Baraza la mawaziri, watendaji wa serikali?
 
Basi tuna shida kubwa

Mtumishi wa umma, anayefanya kazi Kwa moyo wote kufundisha watoto wetu au kuokoa maisha hospitali au fundi umeme tanesco naye ni takataka?

Seriously?
 
Ni kipindi cha kuwa na busara kwenye kushughulika na watu

Wakitumia nguvu kwa mtu kama huyu, watatengeneza kumi wengine mwishowe hali tete

Itakuwa vitu live ukitoka tu maskani yako kama kenya
 
Aangalie asijefikishwa kwenye vyombo vya dola kwa lugha anayotumia ambayo si ya kistaarabu!
dawa ni kutokushiriki uchaguzi tu mpaka watakapo rekebisha hayo mabadiliko ya katiba na kuwashinikiza polisi wawakamate wale wote walioshiriki vitendo vya utekaji na mauaji ya raia wanaokosoa!
 
Back
Top Bottom