Mchezo wa mia kwa mia (100/100)

Mchezo wa mia kwa mia (100/100)

aisee mie mniwekee cha marehemu k ile jack daniel

Usitutafutie kesi...na hivyo una uchungu wa kushindwa usije ukaanzisha vurugu tukakusukuma kidogo..ukarudisha nambaa kwa Sir God...

Hapa vinywaji ni maji, togwaa na juisi.....sawa?
 
Usitutafutie kesi...na hivyo una uchungu wa kushindwa usije ukaanzisha vurugu tukakusukuma kidogo..ukarudisha nambaa kwa Sir God...

Hapa vinywaji ni maji, togwaa na juisi.....sawa?

mmmh ntashindwa kuongea bila kitu cha marehemu
 
Usitutafutie kesi...na hivyo una uchungu wa kushindwa usije ukaanzisha vurugu tukakusukuma kidogo..ukarudisha nambaa kwa Sir God...

Hapa vinywaji ni maji, togwaa na juisi.....sawa?
Hizindionambangapi
 
Hizindionambangapi

Tushashinda babaaa....hebu tuimbie ule wimbo wa "si si si mnaonaaa, mziki wa wanawake kuuzima hamuwezi, si mnaona...."

Siku ile nlicheka sanaaa, imba tenaaa....
 
Back
Top Bottom