Weeeeeer hatujachakachuaaa nyie ndio mnataka kutuchakachuaaaa
Habari ndiyo hiyooo lol!!! Matokeo yamefutwa rasmi hayahesabiki 🙂🙂 Mkuu @Mr BK andaa siku ya kurudia hii game na timu zote mbili zijulishwe rasmi.
Hayaaaaa muandae na zawadiii
Jana si uliniambia kuna zawadi kumbe ulikuwa unanidanganya?
95. Khantwe na dina mmerudia namba. miss neddy amka fastaaaaaa
102....tuanze zetu upya mwaya
Mtaa huu ni 103