Mchezaji gani hapa Tanzania anapewa Heshima kubwa ila uwezo wake ni wa kawaida sana?

Mchezaji gani hapa Tanzania anapewa Heshima kubwa ila uwezo wake ni wa kawaida sana?

Samatta ni zamani. Sasaivi hatumuelewi. Hata hivyo tangu aondoke Aston Villa club imeshika number 3 EPL katika historia
Haya ndio majibu ya elimu ya kibongo nyoso
Jibu swali, je kuna mchezaji yoyote wa bongo aliewahi kuchezea EPL zaidi ya Samatta?
 
Back
Top Bottom