Mchepuko amekomalia hataki ndoa ifanyike

Mchepuko amekomalia hataki ndoa ifanyike

Safi sana tena huyo dada hajakomaa vizuri,
utakuta hapo alikua anamwambia mchepuko i love you i'll marry you etc
leo hii anambadilikia na ningekua mie huyo mchepuko namwaribia mpaka kwa mke mtarajiwa,
wanaume jifunzeni kutuliza dushelele zenu,

Nyiny mbona hamjifunz kutuliza papuch zenu??...Mnayataka wenyewe kisha mnaanza kulalama
 
Ni shidaaaaaaaaaa. sasa kampatia mchepuko mimba anataka akaolewe na nani?
Mi naona bora aendele na mchepuko akiwa na naafasi ile ile ya mchepuko ili naye apate huduma huku naye wife akichukua nafasi yake makao makuu.
 
angekuwepo shemeji hapa angekuumua bonge la kibao.."weh, acha uwongo nimekuta watu walishazindua"...kwikwikwiii!
Kwani responsibility kwa mimba ni kuowa? kuowa ni responsibility kwa "mke", responsibility kwa mimba ni kulea.

Yupo..nimuite atoe ushuhuda?
 
mkuu, dini yake hairuhusu kuoa wake wengi na anadai hana mapenzi na mchepuko(alikuwa wa kuzugia)

Ht mimi nisingekubalI...unifanye wa kuzugia.?? Bora angemtaarifu tangu mwanzo kuwa hapa tunasogeza siku tu...mbona hiyo ipo sana tuu...wangekubaliana before..tena ana mimba heee...ndo kbsaa..bora asingekuwa nayo
 
hiyo mimba ametangaza baada ya ndoa kutangazwa?!!...walivyokuwa wanafanya alimwahidi kumwoa au alimwambia ana mchumba wake? Huyo jamaa anaonekana nyenyenye tu,kutishiwa kuuwawa na demu...bwahahahah, mwambie aache ujinga yeye ni mwanaume, aowe anayempenda.

jamaa alitaka kumficha ila baada ya binti kumwambia ana mimba ikabidi amueleze kuwa anataka kuoa. hapo ndio mchepuko amekomaa haiwezekani ndoa ifanyike wakati yeye yupo. nadhani jamaa hakuwahi kumweleza dada kama ana mchumba.
 
wewe kila anayekufanya anakuowa?!!
kuna wakati mwingine se ni kwa ajili ya starehe tu, watu mmetongozana kustareheshana, hamjaambiana mambo ya kuowana lakini jitu linajirengesha mimba ili mwanaume asiwe na pakutokea, hapo unakuwa unamlaghai na kumchezea mwanaume!

mkuu waambie waelewe.
 
Safi sana tena huyo dada hajakomaa vizuri,
utakuta hapo alikua anamwambia mchepuko i love you i'll marry you etc
leo hii anambadilikia na ningekua mie huyo mchepuko namwaribia mpaka kwa mke mtarajiwa,
wanaume jifunzeni kutuliza dushelele zenu,

umeongea ukweli dada ila sio kila me anayetamka" i love you" anamaanisha wengine wanatafuta kwa kupoozea.
 
Ni shidaaaaaaaaaa. sasa kampatia mchepuko mimba anataka akaolewe na nani?
Mi naona bora aendele na mchepuko akiwa na naafasi ile ile ya mchepuko ili naye apate huduma huku naye wife akichukua nafasi yake makao makuu.

mkuu mchepuko hataki.nafasi ya mchepuko. anataka aolewe yeye.
 
jamaa ana mpenzi wake wa long time kitambo. msichana alikuwa nje ya nchi kimasomo mawasiliano na maelewano kama kawaida(kiufupi wanapenda sana). walipanga mchumba akimaliza wafunge ndoa. mchumba amerudi ndoa tarehe 28/9.

wakati mchumba yupo masomoni jamaa akaona si mbaya kutafuta wa kuzugia(mchepuko). mpaka sasa mchepuko anadai ana mimba ya jamaa na anasisitiza kuwa ndoa haitafungwa na hata ikifungwa hawataishi pamoja atamuua jamaa.

jamaa analia kama dame hajui afanye nini anaona kama mchepuko anaingilia mapenzi yake hivi.

me kama rafiki nimeshindwa kumshauri ila nikaona si mbaya kuwashirikisha wana MMU tumsaidie ushauri kijana wenzetu afanye nini?

Aoe mchepuko tu. Madhara ya dhambi ni mauti.
 
jamaa ana mpenzi wake
wa long time kitambo. msichana alikuwa nje ya nchi kimasomo mawasiliano
na maelewano kama kawaida(kiufupi wanapenda sana). walipanga mchumba
akimaliza wafunge ndoa. mchumba amerudi ndoa tarehe 28/9.

wakati mchumba yupo masomoni jamaa akaona si mbaya kutafuta wa
kuzugia(mchepuko). mpaka sasa mchepuko anadai ana mimba ya jamaa na
anasisitiza kuwa ndoa haitafungwa na hata ikifungwa hawataishi pamoja
atamuua jamaa.

jamaa analia kama dame hajui afanye nini anaona kama mchepuko anaingilia
mapenzi yake hivi.

me kama rafiki nimeshindwa kumshauri ila nikaona si mbaya kuwashirikisha
wana MMU tumsaidie ushauri kijana wenzetu afanye nini?

tatizo mchepuko unaofia matunzo so wakae mchepuko aseme anataka sh.lets m20 afu aache hao malaya wafunge ndoa maana huyo unaemsema mchepuko ndo mke haris huyo wa masomon ndo mchepuko
 
kwanini mkuu? ifike mahali wanawake mjue kutofautisha kati ya mapenzi ya kweli na uongo. msikurupuke

Alivyo mtia mimba akujua kama hana mapenzi nae?Mi mwenyewe ninge wafanya wajute maisha yao yote mi mtoto wangu ndo akose baba????

Alafu mbona siku hizi mambo hadharani unamwambia kabisa mi nna mtu yuko masomoni nataka kampani yako.na mtu anaelewa tu.tatizo la kuficha ficha ndo hiloooo.
 
Back
Top Bottom