Sanja
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 501
- 228
Asee!!? Yaani watoto wa kiume wamepatwa na nini siku hizi,yani la kusimamia msimamo wako unalalamika? Usipo muoa unakufa au? Au nyie ndo mnategemea ndoa ili maisha yanyoke,maana sioni tatizo la muolewaji kujua ati. Watu wanaacha wake waliozaa nao watoto ili wafurahishe nafsi sembuse mchepuko wenye mimba? Ebu tumieni vichwa vyenu vizuri muache kulalama na kusingizia kulengeshewa na kina dada maana munawapa kichwa wenyewe.