Mchepuko amekomalia hataki ndoa ifanyike

Mchepuko amekomalia hataki ndoa ifanyike

hiyo mimba ametangaza baada ya ndoa kutangazwa?!!...walivyokuwa wanafanya alimwahidi kumwoa au alimwambia ana mchumba wake? Huyo jamaa anaonekana nyenyenye tu,kutishiwa kuuwawa na demu...bwahahahah, mwambie aache ujinga yeye ni mwanaume, aowe anayempenda.
 
Hapa ndo huwa nashindwa kuwaelewa wanaume...kumfanya mtu wa kuzugia duh...mchepuko na ukomae kabisa

wewe kila anayekufanya anakuowa?!!
kuna wakati mwingine se ni kwa ajili ya starehe tu, watu mmetongozana kustareheshana, hamjaambiana mambo ya kuowana lakini jitu linajirengesha mimba ili mwanaume asiwe na pakutokea, hapo unakuwa unamlaghai na kumchezea mwanaume!
 
wewe kila anayekufanya anakuowa?!!
kuna wakati mwingine se ni kwa ajili ya starehe tu, watu mmetongozana kustareheshana, hamjaambiana mambo ya kuowana lakini jitu linajirengesha mimba ili mwanaume asiwe na pakutokea, hapo unakuwa unamlaghai na kumchezea mwanaume!

Kwanz unaanza kustarehe na "Jitu".na wewe unapoachia achia mbegu zako ovyo ovyo unakua unaona sifa ee....nautakia mchepuko mkomao mwema
 
Kwanz unaanza kustarehe na "Jitu".na wewe unapoachia achia mbegu zako ovyo ovyo unakua unaona sifa ee....nautakia mchepuko mkomao mwema

ahahahaha, naona swali l mekwa gumu!
Kumwaga mbehu siyo tatio, zisipomwagwa kwa mwanamke zitamwagwa tu bauni, mbeg za mwanamume ni nyingi sana ndiyo maana hata ukizibana vipi zitatoka hata usingizini, sembse kwenye starehe ya wawili mnaambiana kabisa tukapime ili tufaidi nyama kwa nyama, matokeo yake mwenzako anaacha kumeza tule tuvidonge tudogotudogo maksudi kabisaa.
ukweli ndoa nyingi za siku hizi wanaume wanategwa tu, ni ndoa chache sana ambazo mwanamume alimfuata mwanamke na kumwambia "nakuoenda naomba nikuowe tuishi pamoja tuzae watoto", nyingi huwa zinaanza kama watu wanaostareheshana ambao hawajaambiana lolote kuhusu mahsiano ya kudumu, mwisho wa siku mwanamke anajimilikisha na kuona huyo mwanamume ni wake, anamtegea mimba!
 
Kaka mbona umekuwa mkali kwa Mamndenyi? Kama kpi ya maisha ni ndoa tu, yeyote anafaa. Wanasema kama hujui uendako njia yoyote ni sahihi
na ulivyo toyo mpaka umevadilishwa usikute umedanganywa kuolewa ...toyoyo wewe...
 
Last edited by a moderator:
Safi sana tena huyo dada hajakomaa vizuri,
utakuta hapo alikua anamwambia mchepuko i love you i'll marry you etc
leo hii anambadilikia na ningekua mie huyo mchepuko namwaribia mpaka kwa mke mtarajiwa,
wanaume jifunzeni kutuliza dushelele zenu,
 
ahahahaha, naona swali l mekwa gumu!
Kumwaga mbehu siyo tatio, zisipomwagwa kwa mwanamke zitamwagwa tu bauni, mbeg za mwanamume ni nyingi sana ndiyo maana hata ukizibana vipi zitatoka hata usingizini, sembse kwenye starehe ya wawili mnaambiana kabisa tukapime ili tufaidi nyama kwa nyama, matokeo yake mwenzako anaacha kumeza tule tuvidonge tudogotudogo maksudi kabisaa.
ukweli ndoa nyingi za siku hizi wanaume wanategwa tu, ni ndoa chache sana ambazo mwanamume alimfuata mwanamke na kumwambia "nakuoenda naomba nikuowe tuishi pamoja tuzae watoto", nyingi huwa zinaanza kama watu wanaostareheshana ambao hawajaambiana lolote kuhusu mahsiano ya kudumu, mwisho wa siku mwanamke anajimilikisha na kuona huyo mwanamume ni wake, anamtegea mimba!

Swali lipi? Kua kila alienifanya? Alienifanya kanioa kaka...unapopanda mbegu tegemea mavuno? Mimba Imeingia iwe Maksudi au si Maksudi bado you are responsible. ...
 
Swali lipi? Kua kila alienifanya? Alienifanya kanioa kaka...unapopanda mbegu tegemea mavuno? Mimba Imeingia iwe Maksudi au si Maksudi bado you are responsible. ...

angekuwepo shemeji hapa angekuumua bonge la kibao.."weh, acha uwongo nimekuta watu walishazindua"...kwikwikwiii!
Kwani responsibility kwa mimba ni kuowa? kuowa ni responsibility kwa "mke", responsibility kwa mimba ni kulea.
 
Safi sana tena huyo dada hajakomaa vizuri,
utakuta hapo alikua anamwambia mchepuko i love you i'll marry you etc
leo hii anambadilikia na ningekua mie huyo mchepuko namwaribia mpaka kwa mke mtarajiwa,
wanaume jifunzeni kutuliza dushelele zenu,

aah wapi, sku hizi kuna mchepuko wa kudanganya kuowa?! hapo akutane na mwanamume mnazi na mchumba mtu mwenyewe mnazi wanamwambia kaa uzae ndoa inafungwa, pingamizi ataliwekea kanisa gani?..ana cheti cha ndoa?!
 
Back
Top Bottom