mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 1,017
- 1,546
Uhakika....Unakuja nao wanamchukue yeye kama mvamizi na kesi wanafungua na rb unachukua Kwa matumizi ya baadae akileta fujo unamfunga
Uhakika....Unakuja nao wanamchukue yeye kama mvamizi na kesi wanafungua na rb unachukua Kwa matumizi ya baadae akileta fujo unamfunga
Wewe usinitishe....😀😀😀akifahamu ndoa kwaheri, kaa ukijua ikusute umemfanyia mkeo dharau kubwa sana sana na haufahi kuwa mumewe. Wanawake jambo hili litamrudia tu one day kuwa tayari. akijua akakaa kimya ujue utakuwa cooked kwa namna hautaweza ifikiria maishani mwako. wewe ni mume tabia mbaya ya kichafu...👿
Wewe usinitishe....😀😀😀
Kwanini huwa wanagngania ivoIlinitokea kama hiyo ila sikuwa na mke,nilienda kituoni nikarudi na difenda wakamchukua kesi ikaishia huko.
Maisha magumuKwanini huwa wanagngania ivo
Huyo si amepewa hadi pesa ila kagoma kabisaMaisha magumu
Anataka uhakika wa maishaHuyo si amepewa hadi pesa ila kagoma kabisa
Yan hata ningekua malaya kiasi gani, siwez lala na mwanamke kitanda cha mke wangu hiyo never aiseeKwahiyo Mkuu Kitanda unacholalia na Mkeo umekifanya Gest
Safiri usimwachie matumiziMzuka wana jf! Hii shida yangu inaweza kuonekana kama maigizo lakini si maigizo ni ukweli kabisa, japo mimi ni mwanaume ila nimefeli kutatua hili tatizo naombeni mawazo mapya.
Mke wangu alisafiri kwenda kwao mwezi uliopita, kuna shida fulani ilimpeleka huko na kupelekea kukaa siku zote hizo, mimi nikaona hii ndio chance acha nilete mchepuko ndani niwe najilia mdogo mdogo wife akikaribia kurudi nitamuondoa.
Kwasababu watoto wote wapo shule na wanakaa board isipokuwa mdogo ambaye alisafiri na mama yake, nilimwambia wife asafiri na house girl mimi nitakuwa nakula hotelini, na kweli wife alikubali kusafiri na house girl na ninavyomjua hata nisingesema angesafiri nae tu.
Basi mi niliingiza ndani mwanamke na nikamuonya asijaribu kutoka nje ya geti maana majirani wasije wakamuona.
Sasa wife amenipigia simu juzi kuwa anataka kurudi nimtumie nauli, na juzi hiyo hiyo nilimwambia yule mchepuko jioni aondoke asije akaniletea balaa, cha ajabu alikataa katu katu akasema yeye tayari ameshafika na haendi kokote, nikajaribu kumuelewesha akakataa, nikamuacha huku kichwani nikijua ananitania huwenda hajataka kuondoka kwa siku hiyo labda ataondoka asubuhi ya siku inayofuata, siku iliyofuata nikamuuliza ataondoka saa ngapi, akaniambia hana mpango wa kuondoka, yeye ameshafika labda nimuue au niite greda lije limng'oe, mwanzoni nilikuwa nacheka kwa majibu yake nachukulia utani na masihara.
Sasa hivi ndio nimegundua kumbe mwanamke huyu hatanii, maana leoD jumatanoo wife ndio ameanza safari ya kutoka kwao Bukoba kuja Dar, na hivi ninavyoongea na nyie wana jf yuko njiani, huyu mwanamke nimemwambia yote nimemuonesha mpaka sms na hata nikiongea na wife anasikia lakini ameshindwa kuwa muelewa na kuondoka, nimetumia mpaka nguvu nimempiga makofi mengi sana, kiukweli nimempiga sana na mpaka ameumuka sura lakini anasema haondoki labda nimuue, najiuliza sijui nimeokota mwanamke wa namna gani, sijui mchawi huyu, inshort nimechanganyikiwa, nimejaribu kumvuta vuta nimtoe nje nimeshindwa, kwanza ameniharibia mlango kisa kuvutana sana kutaka kumtoa nje, nimetumia busara kuongea nae kistaarabu na kumpa mpaka pesa akubali lakini amegoma.
Wadau naombeni mnisaidie mawazo mapya, nifanyeje nimtoe ndani huyu mtu. Daah! 😭
Umechelewa kuomba ushauri.ungeomba ushauri kabla ya mkasa.sasa yanakukuta ya mtema kuni.Mzuka wana jf! Hii shida yangu inaweza kuonekana kama maigizo lakini si maigizo ni ukweli kabisa, japo mimi ni mwanaume ila nimefeli kutatua hili tatizo naombeni mawazo mapya.
Mke wangu alisafiri kwenda kwao mwezi uliopita, kuna shida fulani ilimpeleka huko na kupelekea kukaa siku zote hizo, mimi nikaona hii ndio chance acha nilete mchepuko ndani niwe najilia mdogo mdogo wife akikaribia kurudi nitamuondoa.
Kwasababu watoto wote wapo shule na wanakaa board isipokuwa mdogo ambaye alisafiri na mama yake, nilimwambia wife asafiri na house girl mimi nitakuwa nakula hotelini, na kweli wife alikubali kusafiri na house girl na ninavyomjua hata nisingesema angesafiri nae tu.
Basi mi niliingiza ndani mwanamke na nikamuonya asijaribu kutoka nje ya geti maana majirani wasije wakamuona.
Sasa wife amenipigia simu juzi kuwa anataka kurudi nimtumie nauli, na juzi hiyo hiyo nilimwambia yule mchepuko jioni aondoke asije akaniletea balaa, cha ajabu alikataa katu katu akasema yeye tayari ameshafika na haendi kokote, nikajaribu kumuelewesha akakataa, nikamuacha huku kichwani nikijua ananitania huwenda hajataka kuondoka kwa siku hiyo labda ataondoka asubuhi ya siku inayofuata, siku iliyofuata nikamuuliza ataondoka saa ngapi, akaniambia hana mpango wa kuondoka, yeye ameshafika labda nimuue au niite greda lije limng'oe, mwanzoni nilikuwa nacheka kwa majibu yake nachukulia utani na masihara.
Sasa hivi ndio nimegundua kumbe mwanamke huyu hatanii, maana leoD jumatanoo wife ndio ameanza safari ya kutoka kwao Bukoba kuja Dar, na hivi ninavyoongea na nyie wana jf yuko njiani, huyu mwanamke nimemwambia yote nimemuonesha mpaka sms na hata nikiongea na wife anasikia lakini ameshindwa kuwa muelewa na kuondoka, nimetumia mpaka nguvu nimempiga makofi mengi sana, kiukweli nimempiga sana na mpaka ameumuka sura lakini anasema haondoki labda nimuue, najiuliza sijui nimeokota mwanamke wa namna gani, sijui mchawi huyu, inshort nimechanganyikiwa, nimejaribu kumvuta vuta nimtoe nje nimeshindwa, kwanza ameniharibia mlango kisa kuvutana sana kutaka kumtoa nje, nimetumia busara kuongea nae kistaarabu nmpa mpaka pesa akubali lakini amegoma.
Wadau naombeni mnisaidie mawazo mapya, nifanyeje nimtoe ndani huyu mtu. Daah!