Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,612
- 40,158
Waziri wa Afya Mohamed Mchengerwa amekabidhiwa tuzo ya ZIKOMO katika kipengele cha Best Zikomo Member of Parliament of the year Africa & Caribbean 2025.
Waziri Mchengerwa amekabidhiwa tuzo hiyo na Katibu Mkuu cha Muziki wa Dansi nchini Tanzania, Abdul Malick Anania Sangura ambaye alipokea kwa niaba yake katika sherehe za ugawaji wa tuzo hizo usiku wa Desemba 17.
Aidha Waziri Mchengerwa amewapongeza waandaji wa Tuzo za Zikomo na amewashukuru wote waliompigia kura huku akisisitiza kuwa ushindi huu sio wake peke yake ni ushindi wa watanzania wote
Source Paza Sauti Media
======================
My take: Vita ya URAIS