Mshangazi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,142
- 4,514
Unahisi kauli yako imechekesha sana
Unahisi ukijifanya una huruma mitandaoni ndo unakwenda mbinguni?
PRETENDER!
Unahisi kauli yako imechekesha sana
Kama ni hivyo basi njoo
Sijui kama Kuna mbingu. FafanuaUnahisi ukijifanya una huruma mitandaoni ndo unakwenda mbinguni?
PRETENDER!
Sijui kama Kuna mbingu. Fafanua
Shetani ni kitu gani? FafanuaKumbe wewe ni shetani zaid yangu!
Komenti ya kipuuziAhh!! Kumbe ni Chato!
Kawaida yao.
Yaah kabisa mkuu, sidhani kama ni ugonjwa usio na matibabu.Pole Sana FAMILIA
Ukfatilia kiundani hiki kifo kimechangiwa na UMASIKINI
RIP