Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,048
Hio sio chombezo/riwaya, Mkuu. Huyo ni mchawi. Narudia ni mchawi!Yaani kwa staili hiyo aliyolala ningempandia hapohapo juu ili nioshe rungu kabla watu hawajafika
Hio sio chombezo/riwaya, Mkuu. Huyo ni mchawi. Narudia ni mchawi!Yaani kwa staili hiyo aliyolala ningempandia hapohapo juu ili nioshe rungu kabla watu hawajafika
Kwani mchawi agongwagwi?Hio sio chombezo/riwaya, Mkuu. Huyo ni mchawi. Narudia ni mchawi!
Anagongwa ila sio kizembe. Asa you explained, yaani unamuona yule kalala, and voilà, umemwingia - Hapana.Kwani mchawi agongwagwi?
Kwahiyo mashine haiwezi kupenya?Anagongwa ila sio kizembe. Asa you explained, yaani unamuona yule kalala, and voilà, umemwingia - Hapana.
Na hiyo ndio kanuni itakayotumika kutapeli watu kwa visivyothibitikaHuwezi kuwaona wakipaa na ungo kwa macho ya kawaida...
Inaweza hata isisimame. Sio kupenya tu!Kwahiyo mashine haiwezi kupenya?
Lisemwalo lipo.We unaamini hizo porojo, au umeuona huo ungo ukipaa hata siku moja?
Hilo ni igizo kama la yule mwizi aliyeshindwa kushusha kiroba cha mahindi mgongoni hadi pale aliyeibiwa alipoitwa kituoni kumtua kiroba cha wizi, halafu baadae akataja na za simu za mganga aliyempa tego la wezi, na hiyo kanuni ya kusema hutakaa uone ndiyo inatumika kutepeli watu hata makanisani..Huyo amekwama akiwa katika safari zake.. Kuna vitu vingine hutakaa uvishuhudie mpaka unakufa kwa kupitia macho ya nyama, lakini unatakiwa uamini kama vipo.
Wapo watu waliopewa uwezo wa kuwaona wachawi wakifanya yao live lakini wewe usiweze kuwaona kwa sababu huna uwezo huo.
Usiyaamini sana macho yako kwa kudhani kwamba yanaweza kuona kila kitu. Macho yetu yana pazia mkuu ambayo linatuzuia kuona visivyoonekana. Kumbuka kuna ulimwengu wa nyama na ulimwengu wa roho.
Utaona bendera inapepea lakini kinachofanya bendera ipepee usikione, je hiyo inamaanisha kwamba hakuna upepo?
AiseeeInaweza hata isisimame. Sio kupenya tu!
Lakini sio kwa namna ya lisemwavyoLisemwalo lipo.
HahaaBaadae mtaweka namba za simu za mganga, igizo tu hili
Scripted hiyo kuvuta watejaUnataka kuniambia hicho ninachokiona ni Photoshop?? Tell me bro.
Absolutely. Watu wanatumia hii dhana kutapeli watu pia! But on the other hand, haya mambo yapo kabisaLakini sio kwa namna ya lisemwavyo
umemchomolea betri mwenzioKuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.
Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.
Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.
WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TUView attachment 1184346View attachment 1184347View attachment 1184348View attachment 1184349
Hii elimu mbona inaogopewa kupelekwa vyuoni?
Maana wangeboresha kausaufiri wakawa wanapanda hata wanne kama ndege ndogo