Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Ukiambiwa kitu kinachotumika kama filimbi ili ungo zisigongane utashangaa. Huko angani kuna barabara za kichawi, pamoja na panya roote, alipita njia ya panya akanaswa
 
Huyo amekwama akiwa katika safari zake.. Kuna vitu vingine hutakaa uvishuhudie mpaka unakufa kwa kupitia macho ya nyama, lakini unatakiwa uamini kama vipo.

Wapo watu waliopewa uwezo wa kuwaona wachawi wakifanya yao live lakini wewe usiweze kuwaona kwa sababu huna uwezo huo.

Usiyaamini sana macho yako kwa kudhani kwamba yanaweza kuona kila kitu. Macho yetu yana pazia mkuu ambayo linatuzuia kuona visivyoonekana. Kumbuka kuna ulimwengu wa nyama na ulimwengu wa roho.

Utaona bendera inapepea lakini kinachofanya bendera ipepee usikione, je hiyo inamaanisha kwamba hakuna upepo?
Hilo ni igizo kama la yule mwizi aliyeshindwa kushusha kiroba cha mahindi mgongoni hadi pale aliyeibiwa alipoitwa kituoni kumtua kiroba cha wizi, halafu baadae akataja na za simu za mganga aliyempa tego la wezi, na hiyo kanuni ya kusema hutakaa uone ndiyo inatumika kutepeli watu hata makanisani..
 
Muacheni ndugu yangu kabla sijafanya yangu 😠😠
 
Inawezekana ndege waliingia kwenye engine ya ndege yake Ikabidi aishushe hapo kwa dharura...
 
kuna watu na ndevu zao watabisha,,na kwa ujinga zaidi watakwambia mbona teknolojia yao haitumiki waziwazi..!!unajua mafuta yanayotumika kuendeshea yana tokana na nini..omg..ndo mana ni siri yao..
 
Kuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.

Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.

Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.

WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TUView attachment 1184346View attachment 1184347View attachment 1184348View attachment 1184349
umemchomolea betri mwenzio
 
Me nahitaji sana ako kachombo na zana zake za mashambulizi naweza pata wapi
Hii elimu mbona inaogopewa kupelekwa vyuoni?
Maana wangeboresha kausaufiri wakawa wanapanda hata wanne kama ndege ndogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom