Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
- Thread starter
- #61
Ww ni mchawi?Hakuna kitu kama hicho kwanza Mchawi akisafiri usiku mwili wake anauacha kitandani kwake roho ndio inayo paa..Hiyo ni cinema.hakunaga kitu kama hicho