doup
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 2,718
- 2,898
Mkuu itakuwa "NVVALGST " Next Very Very Advance Level Generation Stealth Technology"Halafu ngoma haionekani kwenye rada zao
Mkuu itakuwa "NVVALGST " Next Very Very Advance Level Generation Stealth Technology"Halafu ngoma haionekani kwenye rada zao
Usisahau kwenda na vilainishiHuyo dada kajaa vizur sana,ningekua mimi ningeenda kumuogesha fresh,nampiga lotion ya hatari,nampa supu ya nguvu na K vant ndogo arestart ubongo then najifungia nae ndani siku tatu tunakula maisha.
MWILI WOTE UNAENEA KWENYE HAKO KAUNGO???Kuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.
Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.
Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.
WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TUView attachment 1184346View attachment 1184347View attachment 1184348View attachment 1184349
Ukweli mtupu kwa asilimia 300%Hakuna kitu kama hicho..
Hio ni show tu imeandaliwa na mwenye nyumba...tena inawezekana mwenye nyumba ni mganga au mchungaji anajitangaza tu ili apate wateja...
Waendelee tu kudanganya huo kamanda awafungulie mashitaka wote mpaka waumini wake huyo MchungajiNiliwaambia hayo ni maigizo jama nimesikia kwny taarifa ya kina millard Ayo amplifaya polisi wakisema walidanganya.
#HABARI Jeshi la Polisi mkoani Iringa, limesema kuwa limebaini tukio lililotokea la mchawi kudondoka juu ya paa la nyumba ya Mchungaji eneo la Ilula ni la kutengenezwa, mwanamke huyo alilipwa pesa ili kutengeneza sakata hilo. https://t.co/QPqMCRE7We