Endeleen kutoamin mpaka waje wawakabe kwanza,Hakuna kitu kama hicho..
Hio ni show tu imeandaliwa na mwenye nyumba...tena inawezekana mwenye nyumba ni mganga au mchungaji anajitangaza tu ili apate wateja...
Hahaaaaaaaaa tungekuwa ulaya tunaenda asubuhi na kurudi jioniHii kitu mi huwa natamani sana ku-prove manake sie wengine tumechanjia ubishi! Hivi haiwezekani mtu kukupa hayo maujanjahalafu ukapaa?!
Halafu Miafrika sijui tumefeli wapi!! Sasa hiyo teknolojia kama ipo si wangei-improve ili iwe inapigisha watu trip za Ulaya kwa njia za panya?! Yaani wale jamaa wanaojazana kwenye mitumbwi kule North Afrika ili kwenda kwa Mzungu, ingekuwa wanapigishwa trip kwa nyungo tu; hakuna cha boda wala hofu ya kukamatwa na askari! Biashara ikikomaa, unaweza kambi Mexico kupigisha Spanish trip za kuingia kwa Trump! Border Patrol wangebaki kukamata shangazi zao tu!!!
Hii sayansi ajabu sana, yaani hako kaungo mtu ana move from one place to another.






sijahama mkuu nimeuliza tu.Yaan mmeshahamia kwenye siasa
Mi siamini bhana, na kama nikimfahamu huyo mchawi anayeweza kufanya hayo, wallah nitamwambia anipe lift siku moja nikiwa najitambua ili nithibitishe!Watafute wachawi wakufundishe ila ukipita kwangu lazima unase
mbona huyo ni kama teleza alifata mkuyenge hapo kwako??
NB:
Wewe ndiyo huyo uliyevaa kofia ya chama??
Halafu biashara unaitangaza wazi; wazungu si kugombania huko ili wathibitishe!!!Hahaaaaaaaaa tungekuwa ulaya tunaenda asubuhi na kurudi jioni
Nipo hapa kukuonyesha wachawi,pamoja na misukule.Hii kitu mi huwa natamani sana ku-prove manake sie wengine tumechanjia ubishi! Hivi haiwezekani mtu kukupa hayo maujanjahalafu ukapaa?!
Halafu Miafrika sijui tumefeli wapi!! Sasa hiyo teknolojia kama ipo si wangei-improve ili iwe inapigisha watu trip za Ulaya kwa njia za panya?! Yaani wale jamaa wanaojazana kwenye mitumbwi kule North Afrika ili kwenda kwa Mzungu, ingekuwa wanapigishwa trip kwa nyungo tu; hakuna cha boda wala hofu ya kukamatwa na askari! Biashara ikikomaa, unaweza kambi Mexico kupigisha Spanish trip za kuingia kwa Trump! Border Patrol wangebaki kukamata shangazi zao tu!!!
Kamwene, mbona mweusi hivyo au teja alifanya yake chombo kikalipuka !
Ungo unabidi uchukuliwe kama nyala za serikali, wataalam wetu wapewe wafanyie kazi hiyo technology inaweza kutusidia kama taifa uko mbeleni. Hebu tafakari kwa baridi ya Iringa lakini mama yuko mhongo wazi ina onesha chombo kina heating system.
Fikilia una jeshi linalopaaa kwa ungo, uaweza kwenda shambulia popote pale duniani.












Wazungu watadata maana biashara zao zitadodaHalafu biashara unaitangaza wazi; wazungu si kugombania huko ili wathibitishe!!!
Mi nataka kupanda ndege ya kiafrika bhana!! Hao misukule nikiwaona nitathibitisha vipi kwamba ni misukule au wachawi?Nipo hapa kukuonyesha wachawi,pamoja na misukule.